Siku ikinitokea mimi sijui kama bank za Tanzania zitakubali pokea hizo hela maana ni nyingi sana
...Watakupaa tuu yaan..
Siku ikinitokea mimi sijui kama bank za Tanzania zitakubali pokea hizo hela maana ni nyingi sana
...Watakupaa tuu yaan..
Leoo nimeamkaa ivyooo yaan ..
Wenye account iplay8 wametoa bonus tuzitumieni vzuri sasa ili tufunge mwaka vizuri..,,
Bonus gani mkuu mbona mm sijapata
Mkeka wako uwe hivi:
Bournemouth
Preston
Swindon
Bristol city
MK dons
Man city
Burton Albion
Weka mzigo unabomoa maisha.
alichonifanyia liver kushindwa kushinda halftym....... sina hamu....25M.......zimepita hivihivi........LIVERPOOL..... NIMESHINDA NDANI KAMA MGONJWA
Swindon haaminiki sana hapo muweke middlesbrough.
leo natk nimpige muhindi kama juz......nilifuata mkeka wa jamaa fuln nikachng.kodog kikatusua....leo naomben tupieni mikeka yetu niingalie nichangny na zangu nipige pesa.....
Mkeka wa leo ni shida sana[/QUOTE
Leo tubet magoli tu kama ni both halves au vp