mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,322
- 1,110
Kweli Mdosi ana nyota *****, jana nimejiua draw 5 zikatoka 4 moja ikashindikana.
WestHam - Draw
Bristol Rovers- Draw
Newcastle- Draw
ManUtd- Draw
Arsena-Draw *****
Arsenal ndo aliniua mamakee, tena kwa makosa ya kizembe ya Szcsezny ---- yule.
Kweli Mdosi ana nyota *****, jana nimejiua draw 5 zikatoka 4 moja ikashindikana.
WestHam - Draw
Bristol Rovers- Draw
Newcastle- Draw
ManUtd- Draw
Arsena-Draw *****
Arsenal ndo aliniua mamakee, tena kwa makosa ya kizembe ya Szcsezny ---- yule.
wewe kumbe ndio umenikosesha hela kwa west ham na bristol rovers,
wakati mimi naomba washinde, wewe ulikuwa unaombea drwa.....
mk dons
cardiff
tuwape win wote au?
Minauliza ukiangalia kwenye mkeka huwa kuna 1 ipo kwenye kivuli kwa timu husika inakuwaje?naombeni jibu
Minauliza ukiangalia kwenye mkeka huwa kuna 1+ipo kwenye kivuli kwa timu husika inakuwaje?naombeni jibu
Katika kubet kuna kubet kwa aina 2 kuu yaani normal (kawaida) yaani matokeo yatakavyokuwa ndivyo yatakavyowasilishwa kwa wachezaji kwa mfano jana wamecheza Tottenham vs Chelsea na tottenham alishinda bao 5-3 na matokeo yakawa hivyo hivyo kuwa Tottenham alishinda pia vilele kwa stoke vs man u jana walitoka sare bao 1-1 na matokeo yakawa hivyo hivyo.
Aina ya pili ya kubet ni handcap ikiwa na maana kuwa inakupasa utabiri matokeo kwa timu fulani ishinde kwa tofauti ya magoli mawili na katika handcap timu dhaifu huwa inapewa goli 1 la ziada na kampuni inayochezesha kamali kwa mfano jana kwenye handcap mechi ya stoke city vs man u iliandikwa hivi STOKE CITY ( 1) vs MAN UTD ikiwa na maana kwamba endapo stoke city ikitoa sare ya aina yoyote inahesabika imeshinda mchezo kwa mfano ikitoka 0-0 inahesabika imeshind kwa goli 1-0 ,na ikitoka 1-1 inahesabika imeshinda 2-1 ,pia ikitoka 2-2 inahesabika imeshinda 3-2 na endapo ikifungwa 0-1 inahesabika imedraw 1-1 na ikifungwa 1-2 inahesabika imedraw 2-2 pia ilikusudi stoke city ifungwe ni lazima goal difference iwe ni 2 na kuendelea kwa mfano ifungwe 0-2,1-3 ,2-4, 3-5.
KWA HIYO UKIONA TIMU IMEWEKEWA ALAMA YA ( 1) KWA PEMBENI BASI TAMBUA IMEPEWA GOLI 1 LA NYONGEZA DHIDI YA TIMU PINZANI.
we jamaa nimekujibu vizuri hapo juu bado tu unauliza inaonekana haupo makini kabisa.
Karibuni tuinvest katika soko la hisa la betting... Iwe meridian, m-bet, ladbrokerz, iplay8casino n.k.
Kwa m-bet voda ni *149*19#.
Kwa meridian online ingia www.meridian.co.tz then jaza fom yao halafu watakutumia link katika e-mail yako ili kuactivate account yako, ukishafungua hiyo link ndo tayari ushajiunga.
Ukitaka kudeposit au kuwithidraw mzigo kwa meridian njia ya m-pesa chek page namba 205 ktk thread hii.
nimefanikiwa kupga mkeka wa game 5 so am waiting nipay via mpesa
M-bet hawalipi ela nishinda mechi za tarehe 1 mpaka sasa tarehe 3 hawajalipa jamaa longo longo alafu waswahili wengi mno kule
Kama kweli umeshinda hata zipite siku tano utalipwa tu.