Plz mwenye link ya mbet msaada
Nahisi kuna kigogo mmoja leo atawaliza watu kama sio Napoli sijui
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Acha niwekeze kwa Everton
mbona kila nikijitahidi nabet 3matches kwa m bet nikitaka mechi zaidi huduma inakatam-bet.co.tz
Kuna wakati mtu unashindwa na kun wakati unadhurumiwa, sasa hii ya leo ni dhuruma haswa.
Juventus anati.wa mse.nge yule. Yaani yeye tu ndo kaniua.
Mkeka ulikua hivi
Juve-win
Everton-draw
Scunthorpe-draw
Rio Ave - win
Bristol City - win
Malaga - win
Juve ndo alikua na point ndogo 1.41 na kadraw mse.nge yule. 56,500 nimeikosa kizembe sana *****.
mbona kila nikijitahidi nabet 3matches kwa m bet nikitaka mechi zaidi huduma inakata
Wadau vipi spain leo kunasomekaje
Kilichonipata kwa malaga jana sina hamu....real nae hadhaminiki yaani hovyo nasubiri uingereza tu
Kuna wakati mtu unashindwa na kun wakati unadhurumiwa, sasa hii ya leo ni dhuruma haswa.
Juventus anati.wa mse.nge yule. Yaani yeye tu ndo kaniua.
Mkeka ulikua hivi
Juve-win
Everton-draw
Scunthorpe-draw
Rio Ave - win
Bristol City - win
Malaga - win
Juve ndo alikua na point ndogo 1.41 na kadraw mse.nge yule. 56,500 nimeikosa kizembe sana *****.
Leo
Real
Valencia
Villa
Braga
Marseille
Lille
Natupia 50,000 inakuja milioni na uchafu.
Jana juve na ever wamenikosesha 2.5k