Kama zari kalipa bado la ushindi tu iwe sherehe
Tembo kakutana na jangili😀😀😀😀
umewahi jaribu hiyo multbet?
@yeol,meridian wana hiyo at least?
Acha tu. Mimi huwa sirudi timu katika mikeka yangu leo sijui kimetokea nn nmewapa ivory coast wameniangusha kuanzia HT mpaka FT.Ivory ***** kanichania mikeka mitatu daaaaaah
Acha tu. Mimi huwa sirudi timu katika mikeka yangu leo sijui kimetokea nn nmewapa ivory coast wameniangusha kuanzia HT mpaka FT.
Ivory ***** kanichania mikeka mitatu daaaaaah