Masikrodinga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 226
- 68
Hiyo ya mali kwanene usiito
Na uumpe Iraq handcap ya 1.5 or 2.0
Na game ya lyon kwanene usitabiri mfungaji (locazet) or magoli badala ya final result na game ya club brugge kwanini usinge weka 1X&2+
Na.....
Mali vs. Cameroon (goals 0 up to 2) odd 1.51
Cote D' Ivore vs. Guinea (goals 0 up to 2) odd 1.64
Aldershot vs. Kidderminster (goals 0 up to 2) odd 1.82
Hapo vipi wakuu???
Dah jamani huu mchezo mimi naona hizi siku kama nimefeli. Yaani nimetoka 188$ hadi 1$
Dah ila sitaacha huu mchezo lazima siku moja nitawapiga nyingi sana.
Leo napo ni siku tusikate tamaa
Dah jamani huu mchezo mimi naona hizi siku kama nimefeli. Yaani nimetoka 188$ hadi 1$
Dah ila sitaacha huu mchezo lazima siku moja nitawapiga nyingi sana.
Leo napo ni siku tusikate tamaa
Mkuu vipi.? Hivi bet 365 ulifanikiwaga kutoa pesa kuja bongo.? Vipi hawakukukata .?
Mkuu vipi tena.? Nini tatizo.?
Mancity jumapili alinitoa kabisa kwenye ramani. Nikarudi Japan, Ivorycoast wakanitoa kabisa. Chelsea na Lyon wakamaliza kabisa nimebakia na dollar 1 tu. Hiyo ndo nataka izalisha ikishindikana basi naachana na huu mchezo hadi ligi ikianza tena August
I learned that courage was not the absence of fear, but the triumph over it. The brave man is not he who does not feel afraid, but he who conquers that fear!
Ipswich
dundee utd
afcon sichezi tena.....
hUU ni mchezo mbaya sana ni zaidi ya mtumiaji wa madawa ya kulevya na kwa sasa umeshamiri kwa vijana wengi nchini nawaasa wache mara moja
asante kaka, mimi ligi ikiisha tu naacha! Asante kwa ushauri.
ha ha ha! Waafrika hatupendani! Jamaa wanaona wakifungana watakuwa wametufaidisha sana.
tangu afcon ianze ni algeria tu ndio ameonyesha njaa ya ushindi..... Ivory cost wanacheza kama wanasukumwa..... Ghana hawana morali kabisaaa..... Camerooon nao bure kabisa..... Mashindano hayana mvuto kama miaka 10 iliopita...watu wanapambana kwelikweli..... Waifanye kama euro watu wazimiss ....kila baada ya miaka mi2 ishapoteza mvuto