vipi wakuu matokeo ya bacca
Leo neema tupu. Weekend safi kabisa
kuna mtu katoa mpunga wiki hii kule meridian?
toka Jana asubuhi mpunga haujaja
Msaada hivi promo code ni nini?...nimeshindwa kujaza wakati najiunga meridian msaada fasta wadau
Ni ID ya mtu wa kukuhudumia pindi upatapo tatizo, kwa maana nyingine ni ID ya mfanyakazi ambaye amekushauri kujiunga.
Sio lazima uijaze, kama ukitaka wapigie 0754303032 uombe hiyo namba.
Upepo mbaya unapita kwenye hii biashara! Nimejipa likizo ya wiki mbili jamani!Ipswichdundee utdafcon sichezi tena.....
Ndugu mteja muamala wako transferId umefanyika kikamilifu. Tiketi #80353 .Ya kuuzwa 2015-01-21 17:33:37.Dau: 1,000.00 Tsh. Uwezekano wa kushinda: 1,579,616.29 Tsh.SCO draw:2.14,GIL draw:2.14,VIT draw:2.09,APO draw:2.03,PAR draw:2.12,KER draw:2.06,ARO draw:2.04,ACA draw:2.12,MAL draw:2.11,FUL draw:2.04,seti #58H ......
HALFTYM SARE MECHI 10 MARITIMO NA FULHAM...WANAUA MKEKA...... MANINA WALAHI....BIASHARA NGUMU SANA
Wadau kumbe game likienda zaidi ya dk 90 hupati kitu...though nilibet exact score na ikatiki...lol