Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
mkuu minimetabiri mechi za Jana kati ya s'ton na Swansea na Ghana na guinea nimekosea iyo moja tuu ya EPL vipi hii inakuaje nimeshinda au sijashinda?pia sija bet online nimetumia *149*19# ya voda.
Ndugu mteja muamala wako transferId umefanyika kikamilifu. Tiketi #119712 .Ya kuuzwa 2015-01-31 21:00:55.Dau: 1,000.00 Tsh. Uwezekano wa kushinda: 116,857.38 Tsh.TWE draw:2.38,CEL draw:2.32,WST draw:2.17,PEN draw:2.17,GRA draw:2.12,LEN draw:2.12,seti #68H .
PENAFIEL ANAMFUNGA GUIMARES ANACHANA MKEKA...... NILIJUA NSHAKULA HUU.....
MAZEE HALFTM SARE ZINATOKA SANA....UKIOTEA TIMU 6 TU LAKI HIYO.....
ROMA ANACHANA 70000
PENAFIEL ANACHANA 116000 DAH..... HAYA BANA.....
Namba ya kulipia mpesa ni 170066
Namba ya kumbu kumbu ni jina lako ulosajilia.
Ukiweka Leo hadi asubuhi itaonekana
N
Namba ya kumbukukumbu iweje iwe ni jina langu tena tena??
Mi Nauliza kwa mfano unatumia ladblokes yaani umefungua account
Then kila ukiwin huchukui,
je kuna mwisho wa kiwango cha kuchukua? yaani kuna amount flani ikifika lazima uachukue mzigo wako
au hata ukifiksha dola millio moja poa tu?
asante
Namba ya kumbukukumbu iweje iwe ni jina langu tena tena??
Nenda kwenye email waliyokutumia utaona ID namba n yako weka kwenye namba ya kumbukumbu pesa inaingia ndani ya dk 5 tu kwa jina itachukua hadi saa nzima
Adam nisikilize mimi.
Namba uliyosajilia ndo utumie kudeposit jela
Kwenye no ya kumbu kumbu,andika jina lako like ulosajiri meridian.
Fanya hivyo uone kama haijakubali.!!
Jaman hapo ndio pananishinda nkifikia tu hatua ya kuweka namba ya kumbukumbku ninapoweka jina langu nlosajilia kule ambalo ni ADAM GELLA linakaataa kuandikika pale kinachotakiwa ni TARAKIMU mfano 1234 NA SIO MAANDISHI namaanisha herufi mfano A,B,C sjui kama nimeeleweka apo naombeni msaada wenu!!
Mimi natumia jina, ingawa hiyo no ninayo.
Nimedrwaw hela Jana na nyingine asubuhi but bado
jamani mimi leo nimeanza rasmi m-bet