Kaka km kunapesa ambayo utakuwa unajilaumu kuikosa wazwaz n hii.Ss knacho tuumiza n mtaj tu lkn km mtaji unakuwepo mbona tunatusua kla cku
Hahahaa.......Mkuu mie nikajua wamelala, by the way athletico kanifanya vibaya.inter si kashinda 1
Jamani niombeeni, nimempa mzigo OKC kushinda kwa gap ya 6 points.
Mkiona ameshinda tu, ambaye atakuwa amefanya maombi sana atapata vocha.
INTER nae ametoks suluhu, kifupi amechana mikeka yangu yote. Sitorudia kuziamini team za Italy.
Ok mkuu kwa uwezo wake utatusua tu,Lkn km jn ungeona nlcho kushaur mkuu leo ungeamka na jeur kubwa
Hapo weka
Inter win
Napol win
Club Brugge win
B juniors win weka hata 20 jibu ltakuja
Nilichelewa kaka, unajua natumia Laptop, sasa ukiwa kwenye daladala huwezi kufungua, nimekuja kufika home game zimeshaanza.
Weekend nitarekebisha simu yangu niwe hewani vilivyo.
@yukubu yusuf tupe mrejesho Jana naona umetusua balaa
Raimundo, yakub yusuf, mtoto wa inzi naombeni mnijuze jinsi ya kucheza handcap kwenye baskball wazee wenzangu.