Wanataka upige picha hiyo id uwatumie kwenye email yao.
Duu jana uliwagonga nn na unabet vipi
Ndio na pia nilitaka kujaribu tu ili badae mapesa yangu yakijaa nisipate shida kutoa,, option karibu zote za premier zipo..
Ndo nielekeze mkuu unaingia wapi
timu 1-3 mikeka sio dili tena, tunagongwa kila kukicha
Mbona nilitaka kudeposit 2600 kwa m pesa ikanigomea
Hii kitu ipo mwake sana maana all Odds unaziona www.[COLOR=#333333]iplay8casino.com[/COLOR]
Mbona mimi sijapewa, nimejisajili ila akaunti inasoma 0 USD.
hat me mar ya kwanz ilixoma 0 ila leo nmekuta 8
hizi dola 8 za kuchora nini?mbn hazfany kaz
Mpaka udeposit pesa.. mi navuna mafaida tu live betting tena!
Tikiti #571322436. ya kuuzwa 14-03-01,seti#715,ya kulipwa:14-03-02,2:BDO win:1.18,13:SOU
lose:1.89,14:BMU win:1.1,.Umelipa:5000.0,kushinda:12266
kanjibhai kashanizingua naona nitahamia tu iPlay8 odds zinasoma 4 eti yeye hesabu zake zinasema napata 12000 kwa
5000 nitamzingua kweli nikishinda labda tiketi isishinde,maana hata simuelewi!..
hahaha hamna ni mashine huwa inakata baadhi ya tarakim za mwisho. Hata mie mkeka ukiwa mrefu inakata ila mwisho wa siku unapata fedha yako inayostahili
ni mwendo wa kulipana kwa dola nasubiria kutuma picha ya id niweze kuyatoa mapesa!