Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kanjibhai nimempiga leo nasubiri salio langu asubuhi!..

Mambo yote iplay8,unarudishiwa mtaji wako na faida juu huku sasa ndy pakupiga madolali nimecheza dola 5 faida dola 9

jumla dola 14 ,hapo nimechezea bonus niliyopewa baada ya kujiunga mm bado sijadiposit kitu accaunt inasoma $17,habari ndy hiyo!..
 
Kanjibhai nimempiga leo nasubiri salio langu asubuhi!..

Mambo yote iplay8,unarudishiwa mtaji wako na faida juu huku sasa ndy pakupiga madolali nimecheza dola 5 faida dola 9

jumla dola 14 habari ndy hiyo!..

$14 mtaji mnono,
 

Huko unajiungaje mkuu,maana huku kwingine naona sio...Nataka nikamate dollar.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Mkuu ingia hapa ujisajiri https://www.iplay8casino.com

Maelezo yakutosha yapo page namba 55 ya huu uzi,jisajiri kwa details za ukweli maana kabla hujatoa madolali itabidi

wathibitishe kama ni ww kwa namba ya kitambulisho ulichojisajilia!..

Karibu $ gud luck!..

Huko unajiungaje mkuu,maana huku kwingine naona sio...Nataka nikamate dollar.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Jamani twendeni taratibu tuwe tunajikosesha kweny "iplay8casino" asije akafunga kampuni.. kila mtu anampiga sio mpango 😀
 
Bye muind & mbet
 

Attachments

  • 1393710844983.jpg
    55.8 KB · Views: 112
Mi sahv nadili na handcap draw jana pia imenitoa kwa spoting na evaton na hii kitu ukipata game 3 ktk mkeka mmoja hela yake ni ndefu coz kila game cap draw huwa na point 3 na kuendelea
 
Mi sahv nadili na handcap draw jana pia imenitoa kwa spoting na evaton na hii kitu ukipata game 3 ktk mkeka mmoja hela yake ni ndefu coz kila game cap draw huwa na point 3 na kuendelea

Za leo unampa nani C.E.O?
 
Ivi pale kwenye zile handicap kuna alama kama -1 -2 zina maana gani

Ni cap za kubadilika kutokana na idadi ya magoli ile ya kawaida ni -1 (2-0) sema kwa 7bu ni live na mech inaendelea akishinda goli moja inabadilika inakua -2 (3-0) yaan cap ya goli 3..
 
Kanjibhai kazuia mtaji wangu,nilimpiga jana kwenye MBET hadi sasa hivi kimya,hivi huwa analipa saa ngapi huu?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…