Kanjibah ***** zake hadi sasa mpunga haujaingia sasa nitawekaje mkeka mwngne. Nampgia hapokei simu
wakuu nyie mnaangalia vigezo gani mbona kila nikiweka naliwa
Jamani twendeni taratibu tuwe tunajikosesha kweny "iplay8casino" asije akafunga kampuni.. kila mtu anampiga sio mpango 😀
ni mwendo wa kulipana kwa dola nasubiria kutuma picha ya id niweze kuyatoa mapesa!
sasa mkuu hapo kwenye id unatumaje ?sasa kama mimi nakitambulisho cha chuo naweza kutuma?
Kule Iplay8casino nani ameshawahi kulipwa wakuu??
kanjibai kafilisiwa