Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Mpaka sasa unaonaje uelekeo wa Arsenal mkuu?Nikwambie tu liverpool ipo nafasi ya 8 arsenal nafasi ya kwanza lakini Guardiola anaiwazia liverpool kuliko arsenal wazungu wanasema
Class is permanent and form is temporary arsenal labda ukinambia kuwania UEFA champions position sawa ila kwenye kuchukua league bado sana wanahitaji muda hata sosha alianzaga hivi hivi mwisho wa siku hakuna alichoambulia.