Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Arteta ni kocha mbovuHapa jamaa angu Erythrocyte ulichemka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arteta ni kocha mbovuHapa jamaa angu Erythrocyte ulichemka.
Najua kweliNi mjuaji tu.
Kabisa yaaniVipi mkuu bado inakurudia tu.
Una maoni gani kwa sasa juu ya Arteta.?
vipi tuendelee kufuatilia au tukupuuzie ?ungesubiri utabiri wangu ushindwe ndio uje , fuatilia nyuzi zangu kuhusu Arteta humuhumu jf
huo mtambo upo wapi ?Mashabiki wa Arsenali bhana! Sisi wa Chelsea tunasubiri tu ligi ianze ili tuanze kushusha vipigo vya mbwa mwizi baada tu ya kuurejesha kundini mtambo wetu wa magoli.
[emoji23][emoji23][emoji23]Msimu huu Arsenal inashuka
hahahahaha....... mpwa imba tena kwa sautiHuyu hajawahi kuwa kocha , bali aliwahi kuwa msimamizi wa mazoezi wa Man City .
leo hii Vibonde waliopanda ligi kuu Brentford 2 -0 Arsenal , ufunguzi wa EPL
Kweli imeshukaMsimu huu Arsenal inashuka
Alikuchukulia mkeo?Basi tu ila Alteta ndo kiumbe wa kwanza ninaemchukia Duniani.
Wacha we!!!Huyu hajawahi kuwa kocha , bali aliwahi kuwa msimamizi wa mazoezi wa Man City .
leo hii Vibonde waliopanda ligi kuu Brentford 2 -0 Arsenal , ufunguzi wa EPL
Hata katiba mpya hutaki ?Ndio maana sijawahi kuwaamini CHADEMA na wanachama wake Hata Siku moja
Katiba naitakaHata katiba mpya hutaki ?
Katiba gn tena? Ile rasimu ya warioba ilikuwa nzuri sana ila kwa kuwa cdm hawataki katiba mpya wakaisigina kwa kisingizio eti wanataka serikali tatu. Yaani unakubali kupoteza mambo mazuri 99 kwa ajili ya kudai jambo moja? Cdm haiwaitakii mema nchi hii kama maccm tuu.Hata katiba mpya hutaki ?