Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
 
US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
 
US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
 
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Hawez ifuta historia
 
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Mkuu kapimwe akili
 
Mkuu kapimwe akili
Angalia watu wanavyopigania kuingia Somalia na N/korea kwenda kutafuta maisha!!.
Viongozi wa hizi nchi ndiyo wanachukiwa na marekani na ulaya kwa ujumla.
 

Attachments

  • 20220903_155835.jpg
    20220903_155835.jpg
    192.6 KB · Views: 7
Gorbachev ndo amesababisha matatizo ya Russia mpk yamefikia Hapa,

Hata Hii Vita ya Ukraine huyu kibabu ana mkono wake Maana yeye ndo aliivunja SOVIET UNION, Kisha akajiuzulu uraisi.

Huyu Hawezi kusamehewa kamwe,
Warusi wanamchukulia huyu mzee Kama pandikizi la CIA ndani ya urusi.

Ndo Maana baadae alipokunywa kugombea Tena uraisi, walimeshtukia na alipata 1% TU ya Kura, ndo akaachana na siasa.

Kiufupi,
Warusi wengi Wana mchukia, ila Ni kipenzi Cha westerns.
 
Kumbuka
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Kumbuka Putin alikua KGB na huyu raisi aliefariki Ndio alikua akiongoza nchi wkt soviet inasambaratika...kunajambo hapa. .
Pia Kumbuka Putin yupo vitani kiusalama adui yako anaweza tumia huo mwanya pia. ..kuna mambo mengi huwezi jua ukiwa nje ya system
 
US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
inamaana huamini kuwa wapo viongoz wazur kias inabid uwasifie tu !
 
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
jf ipitie utaratibu wa ku sign up , tupo na imbecils humu , yaan mtu aache kwenda ujeruman aje Somalia , km ujeruman ingekuwa krb na Afrika bas waafrika wangezamia km wanavyoingia Hispania na Italy
 
Kifo ni kifo tu.......wote tutazikwa as vile hatujioni tunavyozikwa hakuna ubaya

........big up putin....hakuna shobo kwa wasaliti
Putin mwenyew aliwai kuwa krb na viongoz wa Marekan , sijui kosa la huyo mjuba ni lipi ?
 
Utamjibu nini mtu anae amini kiongozi Kuwa na bifu na Western countries ni sifa kuu ya uongozi bora.
Soma hapa chini panaweza kukuvusha mto!
====
Henry Kissinger once quipped that "it may be dangerous to be America's enemy, but to be America's friend is fatal." That may be how Colombia feels these days. Washington's staunchest ally in the Western Hemisphere has been denied Congressional ratification of its U.S. free trade agreement (FTA) for almost three years. Now, when the country is facing the worst floods in 40 years, Congress is threatening to take away its duty-free access to U.S. markets under the Andean Trade Promotion and Drug Eradication Act, or ATPDEA. Colombia, a reliable friend of the U.S.
 
Back
Top Bottom