Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

Wewe posti zako nyingi ni za misaada tu....kumbuka hakuna.kitu cha bure...Hiyo misaada ndo imelamaza Africa..na sasa watu kama wewe wanaona ni sifa kupewa misaada.

Ulimwengu huo uliishapita,Afrika kusubiri misaada kwa raslimali tulizonazo ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha juu...

Pia watu kama nyie kutwq kushabikia misaada na kujipiga kifua mnapaswa kupigwa vita kama ukoma, kwani hao wazungu kipindi babu zao wanapambana nani aliwapa misaada?? Uvivu wa kufikiri na kutumikisha bongo kwa waafrika ndo chanzo cha umaskini na kupenda misaada
Ulikusudia kunikoti mimi ama umekosa?.
 
jf ipitie utaratibu wa ku sign up , tupo na imbecils humu , yaan mtu aache kwenda ujeruman aje Somalia , km ujeruman ingekuwa krb na Afrika bas waafrika wangezamia km wanavyoingia Hispania na Italy
Msome katikati ya mistari utamwelewa.
 
Mikhail Gorbachev alipewa union ikikaribia kuanguka. Kapewa nchi kukiwa na vuguvugu la nchi kujitenga kumbuka nchi nyingi pale ziliunganishwa kwenye block kwa kumwaga damu. Hiyo Ukraine yenyewe ilipigwa mapigano kwanza ndio ikaunganishwa. Kuna uprisings nyingi zilitokea zikawa zinazimwa kwa nguvu ya jeshi. Huo utaratibu lazima muda ungefika uwe na kikomo.

Gorbachev kachukua nchi bei ya mafuta na gesi duniani ikaporomoka, muungano ukapungua bajeti yake. Berlin wall ikavunjwa na hakuna kitu serikali ya Kisovieti ingefanya hata angekuwa nani. Vita ya Afghanistan ishashindikana kule Marekani ilikuwa inapeleka silaha kipindi kile Mujahideen, magaidi na watu wa baadae waliokuwa karibu na Odama bin Laden wakiungwa mkono na Marekani.

Gorbachev alijaribu kurekebisha nchi kwa kuleta perestroika na glasnost ila alishachelewa. Hata angekuwepo nani wakati huo, angelazimika aue watu wengi pale. Mwaka 1991 huo hapo USSR kulitokea jaribio la mapinduzi ambalo liliungwa mkono na Vice President. Mkorofi mwingine alikuwa ni Boris Yeltsin aliyeongoza Russia kujitenga na kuwa Federation, ndio wengine kina Ukraine wakatangaza nao kujitenga. Yeltsin alikuwa analalamika utawala wa Gorbachev ila alipokuwa Rais naye akawa mlevi wala hana misaada wowote, uchumi ukazidi kuwa mbovu, akabinafsisha mali za serikali kwa oligarchs.

Socialism ngumu tuseme ukweli. China sio wajinga kukubali capitalism. Uzuri wa Wachina ni waangaliziaji wazuri, tena jirani yake Urusi ikikosea kitu kama walikuwa wanafanya hivyo wanakula kona wanakusaliti ukaze kichwa uvunjike shingo.

Utamlaumu Gorbachev kwamba kwanini hakuua watu wengi zaidi. Angekazana angeua na kusogeza siku kidogo. Alianza hizo operations ila zikamshinda
Mpaka USA inasimama ilivyo hivyo tunavyoiona Kuna watu wengi sana waliuawa katika States zao... Wengi wao hawakutakaga hiyo USA.... Ila walilazimishwa mpaka USA ikasimama mpaka sasa tunavyoiona....

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka USA inasimama ilivyo hivyo tunavyoiona Kuna watu wengi sana waliuawa katika States zao... Wengi wao hawakutakaga hiyo USA.... Ila walilazimishwa mpaka USA ikasimama mpaka sasa tunavyoiona....

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Ilikuwa ni ideologies kukinzana. Kwamba Confederates vs Union walitofautiana maslahi. Tangu vita ile imeisha lini umesikia Marekani wanapigana civil war
 
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Povu lote ni kutohudhuria tu mazishi au?

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Ulikusudia kunikoti mimi ama umekosa?.
Nadhani hajakosea. Wewe ni muumini wa msaada kama njia ya Afrika kujikwamua. Una imani ya ulaya na marekani kama ndio suluhu ya maisha na kimbilio letu ndio maana wengi wetu na wahamiaji toka Japan na Sweden wanafurika sana DRC ukiamini kuwa maendeleo ya DRC yanachakizwa na uwepo wa UK.
Una imani ya kuwa viongozi kama Mobutu ni waovu kuliko Hiltler .
USAID ni moja ya Ngo's za misaada Afrika na kuinua vijana na wajasiliamali lkn ukisoma agenda zake ni za kisiasa je hili unaweza kulifanya huko kwako wewe?
Viongozi dhalimu wa Kafrika wapo na walikuwepo lkn haiondoi kuwa Afrika itaendelea kwa sera ambazo si lazima ziwe kwa misaada hadi sasa afrika inadaiwa. Lini italipa deni lake kwa wakopeshaji.? IMF ni mashirika ya kinyonyaji tu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mbona Putin haurejeshi huo Ukomunisti tena Russia??
Mbona yeye mwenyewe Putin ni bwanyenye mkubwa aliyejikusanyia ukwasi usiomithilika??
Putin anafanya na anasimamia anachokiamini,sio mnafiki kabisa,haweza uzuria kinafiki kwenye msiba wa aliye sababisha ukomunist kudondoka,hawezi kabisa,kumbuka ya kuwa Putin na ukomunist ni Damu Damu. So Mimi sioni kukuacha wafu wazikane
 
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Wewe yanakuhusu nini?

Ukisikia umbea wa Kimataifa ndio huo.
 
IMG_5081.jpg

IMG_5082.jpg

IMG_5083.jpg



IMG_5085.jpg

IMG_5086.jpg

IMG_5087.jpg

IMG_5088.jpg

IMG_5089.jpg

IMG_5090.jpg

IMG_5091.jpg

IMG_5092.jpg

IMG_5093.jpg


Hajawahi kumsamehe hili kosa la kushindwa kujali maslahi mapana ya Soviet Union na Urusi.
 
Nadhani hajakosea. Wewe ni muumini wa msaada kama njia ya Afrika kujikwamua. Una imani ya ulaya na marekani kama ndio suluhu ya maisha na kimbilio letu ndio maana wengi wetu na wahamiaji toka Japan na Sweden wanafurika sana DRC ukiamini kuwa maendeleo ya DRC yanachakizwa na uwepo wa UK.
Una imani ya kuwa viongozi kama Mobutu ni waovu kuliko Hiltler .
USAID ni moja ya Ngo's za misaada Afrika na kuinua vijana na wajasiliamali lkn ukisoma agenda zake ni za kisiasa je hili unaweza kulifanya huko kwako wewe?
Viongozi dhalimu wa Kafrika wapo na walikuwepo lkn haiondoi kuwa Afrika itaendelea kwa sera ambazo si lazima ziwe kwa misaada hadi sasa afrika inadaiwa. Lini italipa deni lake kwa wakopeshaji.? IMF ni mashirika ya kinyonyaji tu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kwanini koment iwe kwenye engo ya misaada na si kwingine?.
Jf inaboa sana.. Guys hivi hatujistukii vile kuona Nchi ambazo zimezungukwa na barafu tupu, ardhi hawana lakini bado wanachumi kubwa kuzidi sisi wenye kila kitu?.
Unajisikiaje Ukreni ilivyondani ya vita lakini bado inatoa Tani kadhaa za ngano kupelekwa Somalia kama msaada wakati sisi tupo hapa kazi kupiga midomo na kuamini hatuendelei kwasababu tunanyonya?.
Mimi sisifii misaada, mimi ninasifia u- bright wao vile wanavyo hustle na changamoto zao hadi wa napata ziada ya kukugawai nchi maskini wa Mali na akili.
Kura ulimpigia Chenge, Pesa kaiba Chenge, ushahidi wa kuwa Chenge ni jizi ni Chenge mwenyewe kwa kusema hivyo ni vijisent ila lawama za kwanini Africa haipigi hatua wanatupiwa West, si Chengi 🤣🤣. Tunalaana si bure.
 
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Derision [emoji23]
 
Back
Top Bottom