Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
[emoji41][emoji41][emoji41]Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Hawez ifuta historiaHuyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Mkuu kapimwe akiliBurundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Angalia watu wanavyopigania kuingia Somalia na N/korea kwenda kutafuta maisha!!.Mkuu kapimwe akili
Na mkojo piaMkuu kapimwe akili
Kumbuka Putin alikua KGB na huyu raisi aliefariki Ndio alikua akiongoza nchi wkt soviet inasambaratika...kunajambo hapa. .Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Utamjibu nini mtu anae amini kiongozi Kuwa na bifu na Western countries ni sifa kuu ya uongozi bora.[emoji41][emoji41][emoji41]
inamaana huamini kuwa wapo viongoz wazur kias inabid uwasifie tu !US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
jf ipitie utaratibu wa ku sign up , tupo na imbecils humu , yaan mtu aache kwenda ujeruman aje Somalia , km ujeruman ingekuwa krb na Afrika bas waafrika wangezamia km wanavyoingia Hispania na ItalyBurundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Putin mwenyew aliwai kuwa krb na viongoz wa Marekan , sijui kosa la huyo mjuba ni lipi ?Kifo ni kifo tu.......wote tutazikwa as vile hatujioni tunavyozikwa hakuna ubaya
........big up putin....hakuna shobo kwa wasaliti
warusi wa wap ?Huyu kwa warusi anaonekana ni msaliti.....wanaomlilia wamagharibi
nakazia kapimwe akili , somalia ya wapi hiyo ? huo ukuta ni wa ulayaAngalia watu wanavyopigania kuingia Somalia na N/korea kwenda kutafuta maisha!!.
Viongozi wa hizi nchi ndiyo wanachukiwa na marekani na ulaya kwa ujumla.
Soma hapa chini panaweza kukuvusha mto!Utamjibu nini mtu anae amini kiongozi Kuwa na bifu na Western countries ni sifa kuu ya uongozi bora.