T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Wachache wasiokurupuka watakuelewaBurundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Kweli kabisa huyu mzee ataondoka kwa aibu hapo KremlinInaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Ha hahahaha AA! Jipange Mkuu, mambo si mepesi kihivyo eti!Wachache wasiokurupuka watakuelewa
aliongoza miaka 3 tu , sijui superpower iliwezaj kuvunjika kizembe hvGorbachev ndo amesababisha matatizo ya Russia mpk yamefikia Hapa,
Hata Hii Vita ya Ukraine huyu kibabu ana mkono wake Maana yeye ndo aliivunja SOVIET UNION, Kisha akajiuzulu uraisi.
Huyu Hawezi kusamehewa kamwe,
Warusi wanamchukulia huyu mzee Kama pandikizi la CIA ndani ya urusi.
Ndo Maana baadae alipokunywa kugombea Tena uraisi, walimeshtukia na alipata 1% TU ya Kura, ndo akaachana na siasa.
Kiufupi,
Warusi wengi Wana mchukia, ila Ni kipenzi Cha westerns.
kaongea mpumbav , yaan utakuwa kichaa tu kusapoti huo ujingaWachache wasiokurupuka watakuelewa
Kichwa chako ni kichanga badokaongea mpumbav , yaan utakuwa kichaa tu kusapoti huo ujinga
Hii pia chini itakusaidia kupunguza uchovu wako baada ya kuvuka mto.Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Katumia sarcasm. Kama huelewi vitu vidogo hivi vikubwa utaelewaje sasa. Yani kwenye comment yake pale kunahitaji akili gani kuelewa nini analenga. Si hata dogo wa class seven anaelewa palekaongea mpumbav , yaan utakuwa kichaa tu kusapoti huo ujinga
Jamaa umeniangusha Sana. Inamaana hujamuelewa huyo jamaa? Kumwelewa itakubidi usome Na uifanye kinyume Chake.kaongea mpumbav , yaan utakuwa kichaa tu kusapoti huo ujinga
Putin anafanya na anasimamia anachokiamini,sio mnafiki kabisa,haweza uzuria kinafiki kwenye msiba wa aliye sababisha ukomunist kudondoka,hawezi kabisa,kumbuka ya kuwa Putin na ukomunist ni Damu Damu. So Mimi sioni kukuacha wafu wazikaneHuyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Chief, sina haja ya kusoma nukuu uliyoiweka hapa.Soma hapa chini panaweza kukuvusha mto!
====
Henry Kissinger once quipped that "it may be dangerous to be America's enemy, but to be America's friend is fatal." That may be how Colombia feels these days. Washington's staunchest ally in the Western Hemisphere has been denied Congressional ratification of its U.S. free trade agreement (FTA) for almost three years. Now, when the country is facing the worst floods in 40 years, Congress is threatening to take away its duty-free access to U.S. markets under the Andean Trade Promotion and Drug Eradication Act, or ATPDEA. Colombia, a reliable friend of the U.S.
Tatizo waafrica ni wapumbavu tunathamini misiba kuliko walio hai hata Yesu wa biblia alisema waache wafu wazike wafu wao...na ndiyo maana kuna wapumbavu wameunda vikundi vya kufa na kuzikanaHuyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Wewe hujui kitu kabisa....Gorbachev hajawahi kuwa Rais wa Russia....Kama hujui Mambo nyamaza kabisa.....eti Putin atazikwa Kama mbwa?!?!?! Wewe utazikwa Kama Nani?!?! Tuanzie hapo Kwanza....Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Huyo jamaa hakuwahi kuwa Rais wa Urusi,Rais wa kwanza wa Urusi ni Yeltsin..huyo alikuwa kiongozi wa mwisho wa USSR....aligombea urais 1996 akaambulia 0.5%....Putin alitoa heshima zake privately..pasipo kusanyiko la watu...Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Na mkojo piaMkuu kapimwe akili
Wewe posti zako nyingi ni za misaada tu....kumbuka hakuna.kitu cha bure...Hiyo misaada ndo imelamaza Africa..na sasa watu kama wewe wanaona ni sifa kupewa misaada.Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.