Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

Wachache wasiokurupuka watakuelewa
 
aliongoza miaka 3 tu , sijui superpower iliwezaj kuvunjika kizembe hv
 
Hii pia chini itakusaidia kupunguza uchovu wako baada ya kuvuka mto.
====
Washington, D.C., October 4, 2018 – Twenty-five years ago last night in Moscow, Russian President Boris Yeltsin ordered tanks and airborne troops to shell and storm the “White House,” the Russian Parliament (Supreme Soviet) building, to suppress the opposition trying to remove him.

Declassified documents published today by the National Security Archive include the transcript of U.S. President Bill Clinton’s phone call to Yeltsin the next day to praise him, the memcon in which U.S. Secretary of State Warren Christopher subsequently told Yeltsin this was “superb handling,” and two State Department cables painting a more complex portrait of the causes of the events.

The Web posting also includes two oral history accounts, one from then-Russian Defense Minister General Pavel Grachev about his specific role, including his orders to fire the tank cannon that set off a “beautiful fire” in the White House, and the other from U.S. Ambassador Thomas Pickering who believed the U.S. had “no choice” but to support Yeltsin.
 
Mikhail Gorbachev alipewa union ikikaribia kuanguka. Kapewa nchi kukiwa na vuguvugu la nchi kujitenga kumbuka nchi nyingi pale ziliunganishwa kwenye block kwa kumwaga damu. Hiyo Ukraine yenyewe ilipigwa mapigano kwanza ndio ikaunganishwa. Kuna uprisings nyingi zilitokea zikawa zinazimwa kwa nguvu ya jeshi. Huo utaratibu lazima muda ungefika uwe na kikomo.

Gorbachev kachukua nchi bei ya mafuta na gesi duniani ikaporomoka, muungano ukapungua bajeti yake. Berlin wall ikavunjwa na hakuna kitu serikali ya Kisovieti ingefanya hata angekuwa nani. Vita ya Afghanistan ishashindikana kule Marekani ilikuwa inapeleka silaha kipindi kile Mujahideen, magaidi na watu wa baadae waliokuwa karibu na Osama bin Laden wakiungwa mkono na Marekani.

Gorbachev alijaribu kurekebisha nchi kwa kuleta perestroika na glasnost ila alishachelewa. Hata angekuwepo nani wakati huo, angelazimika aue watu wengi pale. Mwaka 1991 huo hapo USSR kulitokea jaribio la mapinduzi ambalo liliungwa mkono na Vice President. Mkorofi mwingine alikuwa ni Boris Yeltsin aliyeongoza Russia kujitenga na kuwa Federation, ndio wengine kina Ukraine wakatangaza nao kujitenga. Yeltsin alikuwa analalamika utawala wa Gorbachev ila alipokuwa Rais naye akawa mlevi wala hana misaada wowote, uchumi ukazidi kuwa mbovu, akabinafsisha mali za serikali kwa oligarchs.

Socialism ngumu tuseme ukweli. China sio wajinga kukubali capitalism. Uzuri wa Wachina ni waangaliziaji wazuri, tena jirani yake Urusi ikikosea kitu kama walikuwa wanafanya hivyo wanakula kona wanakusaliti ukaze kichwa uvunjike shingo.

Utamlaumu Gorbachev kwamba kwanini hakuua watu wengi zaidi. Angekazana angeua na kusogeza siku kidogo. Alianza hizo operations ila zikamshinda
 
kaongea mpumbav , yaan utakuwa kichaa tu kusapoti huo ujinga
Jamaa umeniangusha Sana. Inamaana hujamuelewa huyo jamaa? Kumwelewa itakubidi usome Na uifanye kinyume Chake.

Huyo jamaa Alikuwa anamjibu Pro Russia mmoja ambaye alisema kwamba "Ukiona Kiongozi anasifiwa na Marekani Basi hafai". Ndio maana jamaa akatoa huo mfano akimjibu huyo jamaa kwa kejeli. Kwanini Kama Marekani hawaikubali na Washirika wake Mbona Wahamiaji kibao wanakimbilia huko kutafuta unafuu wa Maisha badala ya kwenda Somalia na Kenya? Rudia kumsoma Tena jamaa.
 
Putin anafanya na anasimamia anachokiamini,sio mnafiki kabisa,haweza uzuria kinafiki kwenye msiba wa aliye sababisha ukomunist kudondoka,hawezi kabisa,kumbuka ya kuwa Putin na ukomunist ni Damu Damu. So Mimi sioni kukuacha wafu wazikane
 
Chief, sina haja ya kusoma nukuu uliyoiweka hapa.
Ila wewe ni miongoni mwa mamilioni ya waafrica wanaoamini kutukana na kusigana na Western countries kutafanya chumi za Africa zipae.
Ili Africa ipige hatua inatubidi tuzalishe akina Mugabe, Gaddafi, Mobotu, Magufuli, Said Bale wengi.. Tukiwa na akina Mabotu 1000 ndani ya Africa within a year uchumi wetu utapaa sana.
 
Tatizo waafrica ni wapumbavu tunathamini misiba kuliko walio hai hata Yesu wa biblia alisema waache wafu wazike wafu wao...na ndiyo maana kuna wapumbavu wameunda vikundi vya kufa na kuzikana
 
Wewe hujui kitu kabisa....Gorbachev hajawahi kuwa Rais wa Russia....Kama hujui Mambo nyamaza kabisa.....eti Putin atazikwa Kama mbwa?!?!?! Wewe utazikwa Kama Nani?!?! Tuanzie hapo Kwanza....
 
Alisikika MTU mmoja akitoa salamu za rambirambi kwa mbwembwe na bashasha
 
Huyo jamaa hakuwahi kuwa Rais wa Urusi,Rais wa kwanza wa Urusi ni Yeltsin..huyo alikuwa kiongozi wa mwisho wa USSR....aligombea urais 1996 akaambulia 0.5%....Putin alitoa heshima zake privately..pasipo kusanyiko la watu...
Pia amezikwa kwa heshima zote pasipokuwa na maziko ya kiserikali...na watu mashuhuri wameparticipate tu kama vile PM wa Hungary..Orban....kazikwa kama mtu mashuhuri lkn si kama kiongozi wa serikali mstaafu wa Urusi
 
Wewe posti zako nyingi ni za misaada tu....kumbuka hakuna.kitu cha bure...Hiyo misaada ndo imelamaza Africa..na sasa watu kama wewe wanaona ni sifa kupewa misaada.

Ulimwengu huo uliishapita,Afrika kusubiri misaada kwa raslimali tulizonazo ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha juu...

Pia watu kama nyie kutwq kushabikia misaada na kujipiga kifua mnapaswa kupigwa vita kama ukoma, kwani hao wazungu kipindi babu zao wanapambana nani aliwapa misaada?? Uvivu wa kufikiri na kutumikisha bongo kwa waafrika ndo chanzo cha umaskini na kupenda misaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…