Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

Ulikusudia kunikoti mimi ama umekosa?.
 
jf ipitie utaratibu wa ku sign up , tupo na imbecils humu , yaan mtu aache kwenda ujeruman aje Somalia , km ujeruman ingekuwa krb na Afrika bas waafrika wangezamia km wanavyoingia Hispania na Italy
Msome katikati ya mistari utamwelewa.
 
Mpaka USA inasimama ilivyo hivyo tunavyoiona Kuna watu wengi sana waliuawa katika States zao... Wengi wao hawakutakaga hiyo USA.... Ila walilazimishwa mpaka USA ikasimama mpaka sasa tunavyoiona....

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka USA inasimama ilivyo hivyo tunavyoiona Kuna watu wengi sana waliuawa katika States zao... Wengi wao hawakutakaga hiyo USA.... Ila walilazimishwa mpaka USA ikasimama mpaka sasa tunavyoiona....

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Ilikuwa ni ideologies kukinzana. Kwamba Confederates vs Union walitofautiana maslahi. Tangu vita ile imeisha lini umesikia Marekani wanapigana civil war
 
Povu lote ni kutohudhuria tu mazishi au?

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Ulikusudia kunikoti mimi ama umekosa?.
Nadhani hajakosea. Wewe ni muumini wa msaada kama njia ya Afrika kujikwamua. Una imani ya ulaya na marekani kama ndio suluhu ya maisha na kimbilio letu ndio maana wengi wetu na wahamiaji toka Japan na Sweden wanafurika sana DRC ukiamini kuwa maendeleo ya DRC yanachakizwa na uwepo wa UK.
Una imani ya kuwa viongozi kama Mobutu ni waovu kuliko Hiltler .
USAID ni moja ya Ngo's za misaada Afrika na kuinua vijana na wajasiliamali lkn ukisoma agenda zake ni za kisiasa je hili unaweza kulifanya huko kwako wewe?
Viongozi dhalimu wa Kafrika wapo na walikuwepo lkn haiondoi kuwa Afrika itaendelea kwa sera ambazo si lazima ziwe kwa misaada hadi sasa afrika inadaiwa. Lini italipa deni lake kwa wakopeshaji.? IMF ni mashirika ya kinyonyaji tu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mbona Putin haurejeshi huo Ukomunisti tena Russia??
Mbona yeye mwenyewe Putin ni bwanyenye mkubwa aliyejikusanyia ukwasi usiomithilika??
Putin anafanya na anasimamia anachokiamini,sio mnafiki kabisa,haweza uzuria kinafiki kwenye msiba wa aliye sababisha ukomunist kudondoka,hawezi kabisa,kumbuka ya kuwa Putin na ukomunist ni Damu Damu. So Mimi sioni kukuacha wafu wazikane
 
Wewe yanakuhusu nini?

Ukisikia umbea wa Kimataifa ndio huo.
 















Hajawahi kumsamehe hili kosa la kushindwa kujali maslahi mapana ya Soviet Union na Urusi.
 
Kwanini koment iwe kwenye engo ya misaada na si kwingine?.
Jf inaboa sana.. Guys hivi hatujistukii vile kuona Nchi ambazo zimezungukwa na barafu tupu, ardhi hawana lakini bado wanachumi kubwa kuzidi sisi wenye kila kitu?.
Unajisikiaje Ukreni ilivyondani ya vita lakini bado inatoa Tani kadhaa za ngano kupelekwa Somalia kama msaada wakati sisi tupo hapa kazi kupiga midomo na kuamini hatuendelei kwasababu tunanyonya?.
Mimi sisifii misaada, mimi ninasifia u- bright wao vile wanavyo hustle na changamoto zao hadi wa napata ziada ya kukugawai nchi maskini wa Mali na akili.
Kura ulimpigia Chenge, Pesa kaiba Chenge, ushahidi wa kuwa Chenge ni jizi ni Chenge mwenyewe kwa kusema hivyo ni vijisent ila lawama za kwanini Africa haipigi hatua wanatupiwa West, si Chengi 🤣🤣. Tunalaana si bure.
 
Derision [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…