Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameru je?wasukuma hawajastaarabika. na wameanza tena mchezo wao kuua wenye ulemavu wa ngozi
Nyanda za juu kusin magharibu wamestaarabika sana. Yapo ila sio kama mahals pengine.Njombe inakosekana vipi?
Au wahanga wengi wanaogopa kusema?
halaafu we jamaa si mmeru wa kwetu?Wameru je?
Wanawake wanavyochinjwa kule ....
Kwa kuwa shinyanga na geita zipo ,Dar es Salaam - 13,719
Shinyanga - 12,300
Mara - 9,823
Mwanza - 9,242
Geita - 7,697
Kigoma - 7,544
Kagera - 7496
Tabora - 7,471
Ruvuma - 7,425
Tanga - 6,827
Chanzo: Wizara ya Afya
Kanda ya Ziwa mpo vizuri hapa.Dar es Salaam - 13,719
Shinyanga - 12,300
Mara - 9,823
Mwanza - 9,242
Geita - 7,697
Kigoma - 7,544
Kagera - 7496
Tabora - 7,471
Ruvuma - 7,425
Tanga - 6,827
Chanzo: Wizara ya Afya
Mbona sisi Tanga wapole sana?Dar es Salaam - 13,719
Shinyanga - 12,300
Mara - 9,823
Mwanza - 9,242
Geita - 7,697
Kigoma - 7,544
Kagera - 7496
Tabora - 7,471
Ruvuma - 7,425
Tanga - 6,827
Chanzo: Wizara ya Afya
Watu wa Njombe ni wastaarabu sana.Njombe inakosekana vipi?
Au wahanga wengi wanaogopa kusema?
Mnavyofungia wanaume ndani kuwapa malavidavi wanashindwa kuondoka ni ukatili wa kijinsia.Mbona sisi Tanga wapole sana?
Sure lo inahuzunisha sana
Kama hvMnavyofungia wanaume ndani kuwapa malavidavi wanashindwa kuondoka ni ukatili wa kijinsia.