Mikoa 10 iliyoongoza kwa ripoti za Matukio ya Ukatili wa Kijinsia Tanzania kwa mwaka 2022/23

Mikoa 10 iliyoongoza kwa ripoti za Matukio ya Ukatili wa Kijinsia Tanzania kwa mwaka 2022/23

Ripoti hii ingekuwa zinazoongoza Pwani,Lindi na Mtwara wangekuja wavimba macho na kuihusisha na dini.Ilivyo sasa hutasikia hayo bali mikoa inayoongozwa haina wastaarabu ikiongozwa na Dar.
Dar ipo kanda gani? Ficha ujinga wako.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hapo DSM hiyo mikoa inayofuata makabira yao ndo yanafanya ukatiri hapa DSM
Sisi wazaramo hatunaga mambo hayo
Tunaeshimu mwanamke kma umechoka nenda kwenu FASTA naleta chombo kipya mwanamke hakutaki ya nn kumlazimisha wakati warembo wamejaa tere wanataka RUNGU walioshe tena wengine hata sio pesa nyingi ni uwezo wako tu wa kupangilia mashaili vema na USTADI wa kuisakata mbususu na kuilamba kuinyonyanyonya ile kitu mpk itoe machozi ya furaha
 
Dar ipo kanda gani? Ficha ujinga wako.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Wewe ndio mjinga.Dar huwa inahesabiwa kama Cosmopolitan City na sio sehemu ya kanda.Dar ni mchanganyiko wa watu kutoka sehemu zote za Nchi na Nje ya Nchi bila kujali utamaduni wao.Kama unashindwa kujua hilo basi una matatizo ya kutumia akili.
 
Watu wa Kanda ya ziwa waliolundikana Dar ndiyo wanaoharibu sifa nzuri za jiji hilo.
Kwa kawaida wenyeji wa ukanda huo hawana tabia za ukatili wa kijinsia.
Ndiyo maana unaona mkoa wa Pwani na mikoa jirani ya Lindi na Morogoro hawamo kwenye orodha hiyo.

Dar ipo kanda gani? Ficha ujinga wako.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wewe ndio mjinga.Dar huwa inahesabiwa kama Cosmopolitan City na sio sehemu ya kanda.Dar ni mchanganyiko wa watu kutoka sehemu zote za Nchi bila kujali utamaduni wao.Kama unashindwa kujua hilo basi una matatizo ya kutumia akili.
Ulitumia research factor au reference gani kujua miongoni mwa walionyanyasa Ke hapo Dar si wa kanda hiyo?
Ficha ujinga wako, narudia tena ficha ujinga wako.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Watu wa Kanda ya ziwa waliolundikana Dar ndiyo wanaoharibu sifa nzuri za jiji hilo.
Kwa kawaida wenyeji wa ukanda huo hawana tabia za ukatili wa kijinsia.
Ndiyo maana unaona mkoa wa Pwani na mikoa jirani ya Lindi na Morogoro hawamo kwenye orodha hiyo.
Sawasawa Chifu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Ulitumia research factor au reference gani kujua miongoni mwa walionyanyasa Ke hapo Dar si wa kanda hiyo?
Ficha ujinga wako, narudia tena ficha ujinga wako.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Umeona wapi research yangu?Nani kaandika kwamba sio wa Kanda ya Dar?Unajua kusoma na kuelewa ulichosoma?Usinilishe maneno.Uwezo wako wa kujadili mada ni mdogo unarukaruka tu bila kufuata mpangilio wa kuunga mkono hoja au kupinga.
Elimu yako haikusaidii kujua unalotakiwa kujua.
 
Back
Top Bottom