Mikoa 10 inayoongoza Kwa Ujenzi Holela (Squatters) Kwa Tanzania

Mikoa 10 inayoongoza Kwa Ujenzi Holela (Squatters) Kwa Tanzania

Kukosekana kwa Dar ni sawa na kukosekana kwa Mbeya. Yaani hiyo mikoa ina ujenzi holela ni balaa. Utadhani mtu alikuwa anamwaga mpunga kumbe ni nyumba. Ikitokea ajali ya moto nyumba moja ikaungua unakuwa ni msururu wa nyumba zaidi ya 10 kuungua.
Naam,

Vigezo vyao vina walakini mkubwa sana.
 
Kukosekana kwa Dar ni sawa na kukosekana kwa Mbeya. Yaani hiyo mikoa ina ujenzi holela ni balaa. Utadhani mtu alikuwa anamwaga mpunga kumbe ni nyumba. Ikitokea ajali ya moto nyumba moja ikaungua unakuwa ni msururu wa nyumba zaidi ya 10 kuungua.
Wewe ambacho huelewi ni nini? Hizo unazoziona Dar au Mbeya ni chache kuliko zilizoko huko kwenu.

Harafu sensa ni ya Nchi nzima na matokeo ni ya Mikoa sio Mji mmja mmja
 
Tanzania Kwa ujumla Makazi yake mengi ni holela na hayajafuata mipango Miji yaani squatters ambapo asilimia 67% ya majengo/Makazi yote Nchini ni Uswahilini yaani Slums.

Pamoja na hali hiyo mbaya ya kimakazi ila Kuna Mikoa imetoa fora Kwa Makazi Yao mengi kujengwa kwenye maeneo ambayo hayajapimwa na hivyo.

Mikoa 10 inayoongoza Kwa kuwa na uswahili mwingi yaani slums or Squatters ni kama ifuatavyo ;

1.Kagera 85.9%
2.Simiyu 82.4%
3.Geita 77.5%
4.Singida 77%
5.Songwe 75.7%
6.Tabora 74.3%
7.Kilimanjaro 74%
8.Tanga 72.8%
9.Katavi 72.7%
10.Manyara 72.2%

NB
Matokeo haya ni Kwa mujibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022 by NBS.
View attachment 3184454

My Take
Kwa mara nyingine Mbeya haipo kwenye Mikoa ya hovyo huku Mikoa ya watu wenye majigambo ikiwa ni miongoni mwa watu wanaishi bila ustaarabu mfano Kagera na Kilimanjaro.

Mikoa ambayo walau Ina kiwango Nafuu Cha Mipango Miji ni
-Dar
-Kigoma
-Mbeya
-Iringa
-Morogoro
-Mwanza
-Arusha

Pia soma Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na Mwanza
Many.....kusa ni hovyo sana.
 
Kukosekana kwa Dar ni sawa na kukosekana kwa Mbeya. Yaani hiyo mikoa ina ujenzi holela ni balaa. Utadhani mtu alikuwa anamwaga mpunga kumbe ni nyumba. Ikitokea ajali ya moto nyumba moja ikaungua unakuwa ni msururu wa nyumba zaidi ya 10 kuungua.
Tatizo ni serikali. Ila watu wanajenga Nyumba za maana japo zipo vichochoroni
 
Back
Top Bottom