Mikoa 10 inayoongoza Kwa Ujenzi Holela (Squatters) Kwa Tanzania

Mikoa 10 inayoongoza Kwa Ujenzi Holela (Squatters) Kwa Tanzania

Arusha hawajalosea hizo takwimu 🤣🤣👇👇
Screenshot_20250107-121627.jpg
 
Tanzania Kwa ujumla Makazi yake mengi ni holela na hayajafuata mipango Miji yaani squatters ambapo asilimia 67% ya majengo/Makazi yote Nchini ni Uswahilini yaani Slums.

Pamoja na hali hiyo mbaya ya kimakazi ila Kuna Mikoa imetoa fora Kwa Makazi Yao mengi kujengwa kwenye maeneo ambayo hayajapimwa na hivyo.

Mikoa 10 inayoongoza Kwa kuwa na uswahili mwingi yaani slums or Squatters ni kama ifuatavyo ;

1.Kagera 85.9%
2.Simiyu 82.4%
3.Geita 77.5%
4.Singida 77%
5.Songwe 75.7%
6.Tabora 74.3%
7.Kilimanjaro 74%
8.Tanga 72.8%
9.Katavi 72.7%
10.Manyara 72.2%

NB
Matokeo haya ni Kwa mujibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022 by NBS.
View attachment 3184454

My Take
Kwa mara nyingine Mbeya haipo kwenye Mikoa ya hovyo huku Mikoa ya watu wenye majigambo ikiwa ni miongoni mwa watu wanaishi bila ustaarabu mfano Kagera na Kilimanjaro.

Mikoa ambayo walau Ina kiwango Nafuu Cha Mipango Miji ni
-Dar
-Kigoma
-Mbeya
-Iringa
-Morogoro
-Mwanza
-Arusha

Pia soma Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na Mwanza
Sina hakika sana kama una tafsiri ya hayo matokeo ya makazi kujengwa kwenye maeneo yasiyopimwa na ulichokiandika hapa. Unaelewa maana ya slums au squatters?

Kwa ufupi ni kwamba hali ya ujenzi kwenye maeneo yaliyopimwa huwezi kuchukua hizo taarifa za jumla bila kutofautisha maeneo ya mijini ambako kwa kiasi maeneo yamepimwa na vijijini ambako ni maeneo machache yaliyopimwa au kurasimishwa rasmi.

Vilevile unatakiwa uelewe kwamba takwimu za NBS zinatwambia ni maeneo yasiyopimwa na si maeneo yenye squatters kama ulivyojinasibu hapa.

Mtu wa Kilimanjaro aliyejenga kijijini kwake Kirua ndani ya hekari moja au robo heka ambako hakujapimwa atabaki anakushangaa wewe na ulichokiandika kwamba wako na slums au squatters. Vilevile mtu wa Kagera, n.k naye atakushangaa kwa maana aliyejenga kijijini ndani ya hekari tatu au nne ipo nyumba moja sasa hizo squatters au slums unazipataje.

Unaipamba Mbeya bila kujua ya kwamba mbeya ni sehemu ya watu kutelekeza vijiji vyao na kuvifanya mashamba huku wakikimbilia maeneo ya mijini ilhali hao unaojilinganisha nao wao wameendeleza vijiji vyao hata kama hakujapimwa na ardhi ya Tanzania inajulikana katika suala zima la upimaji. Suala la slums zikiwekwa takwimu husika utajicheka mwenyewe.

Mwisho unapaswa ujifunze na kuelewa tofauti kati ya eneo kupimwa na ujenzi holela unaotengeneza hizo slums. Bado una safari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa hao waliojenga kwenye maeneo yasiyopimwa
 
Tanzania Kwa ujumla Makazi yake mengi ni holela na hayajafuata mipango Miji yaani squatters ambapo asilimia 67% ya majengo/Makazi yote Nchini ni Uswahilini yaani Slums.

Pamoja na hali hiyo mbaya ya kimakazi ila Kuna Mikoa imetoa fora Kwa Makazi Yao mengi kujengwa kwenye maeneo ambayo hayajapimwa na hivyo.

Mikoa 10 inayoongoza Kwa kuwa na uswahili mwingi yaani slums or Squatters ni kama ifuatavyo ;

1.Kagera 85.9%
2.Simiyu 82.4%
3.Geita 77.5%
4.Singida 77%
5.Songwe 75.7%
6.Tabora 74.3%
7.Kilimanjaro 74%
8.Tanga 72.8%
9.Katavi 72.7%
10.Manyara 72.2%

NB
Matokeo haya ni Kwa mujibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022 by NBS.
View attachment 3184454

My Take
Kwa mara nyingine Mbeya haipo kwenye Mikoa ya hovyo huku Mikoa ya watu wenye majigambo ikiwa ni miongoni mwa watu wanaishi bila ustaarabu mfano Kagera na Kilimanjaro.

Mikoa ambayo walau Ina kiwango Nafuu Cha Mipango Miji ni
-Dar
-Kigoma
-Mbeya
-Iringa
-Morogoro
-Mwanza
-Arusha

Pia soma Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na Mwanza
Sina hakika sana kama una tafsiri ya hayo matokeo ya makazi kujengwa kwenye maeneo yasiyopimwa na ulichokiandika hapa. Unaelewa maana ya slums au squatters?

Kwa ufupi ni kwamba hali ya ujenzi kwenye maeneo yaliyopimwa huwezi kuchukua hizo taarifa za jumla bila kutofautisha maeneo ya mijini ambako kwa kiasi maeneo yamepimwa na vijijini ambako ni maeneo machache yaliyopimwa au kurasimishwa rasmi.

Vilevile unatakiwa uelewe kwamba takwimu za NBS zinatwambia ni maeneo yasiyopimwa na si maeneo yenye squatters kama ulivyojinasibu hapa.

Mtu wa Kilimanjaro aliyejenga kijijini kwake Kirua ndani ya hekari moja au robo heka ambako hakujapimwa atabaki anakushangaa wewe na ulichokiandika kwamba wako na slums au squatters. Vilevile mtu wa Kagera, n.k naye atakushangaa kwa maana aliyejenga kijijini ndani ya hekari tatu au nne ipo nyumba moja sasa hizo squatters au slums unazipataje.

Unaipamba Mbeya bila kujua ya kwamba mbeya ni sehemu ya watu kutelekeza vijiji vyao na kuvifanya mashamba huku wakikimbilia maeneo ya mijini ilhali hao unaojilinganisha nao wao wameendeleza vijiji vyao hata kama hakujapimwa na ardhi ya Tanzania inajulikana katika suala zima la upimaji. Suala la slums zikiwekwa takwimu husika utajicheka mwenyewe.

Mwisho unapaswa ujifunze na kuelewa tofauti kati ya eneo kupimwa na ujenzi holela unatengeneza hizo slums. Bado una safari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa hao waliojenga kwenye maeneo yasiyopimwa
 
baada ya barabara za namba ile ya 20 kwenda mbele ni vuruga vigodoro yoyote anacheza.
Sio kweli ukimaliza barabara ya 20 ukienda donge ,mwahako mwakidila bado Tanga imepangiliwa vizuri hakuna slums kama za Dar au mbeya
 
Back
Top Bottom