Naam,Kukosekana kwa Dar ni sawa na kukosekana kwa Mbeya. Yaani hiyo mikoa ina ujenzi holela ni balaa. Utadhani mtu alikuwa anamwaga mpunga kumbe ni nyumba. Ikitokea ajali ya moto nyumba moja ikaungua unakuwa ni msururu wa nyumba zaidi ya 10 kuungua.
Wewe ambacho huelewi ni nini? Hizo unazoziona Dar au Mbeya ni chache kuliko zilizoko huko kwenu.Kukosekana kwa Dar ni sawa na kukosekana kwa Mbeya. Yaani hiyo mikoa ina ujenzi holela ni balaa. Utadhani mtu alikuwa anamwaga mpunga kumbe ni nyumba. Ikitokea ajali ya moto nyumba moja ikaungua unakuwa ni msururu wa nyumba zaidi ya 10 kuungua.
Hakuna walakini wowote ndio maana huwezi vitaja hivyo vigezo vyenye uwalakini.Naam,
Vigezo vyao vina walakini mkubwa sana.
Walakini wa kwanza vigezo havijawekwa wazi, weka hapa source inayoonesha kitaalamu methodology iliyotumika.Hakuna walakini wowote ndio maana huwezi vitaja hivyo vigezo vyenye uwalakini.
Source hii hapa 👇 👇Walakini wa kwanza vigezo havijawekwa wazi, weka hapa source inayoonesha kitaalamu methodology iliyotumika.
Sijaona methodology wala criteria.Source hii hapa 👇 👇
Soma ripoti Wacha kukurupukaSijaona methodology wala criteria.
Kama ipo, weka page number.
Nimesoma sijaona methodology wala criteria.Soma ripoti Wacha kukurupuka
Kwa hiyo sensa haikuwa na methodology?Nimesoma sijaona methodology wala criteria.
Weka ukurasa wenye methodology na criteria kama upo.
Iko wapi?Kwa hiyo sensa haikuwa na methodology?
Many.....kusa ni hovyo sana.Tanzania Kwa ujumla Makazi yake mengi ni holela na hayajafuata mipango Miji yaani squatters ambapo asilimia 67% ya majengo/Makazi yote Nchini ni Uswahilini yaani Slums.
Pamoja na hali hiyo mbaya ya kimakazi ila Kuna Mikoa imetoa fora Kwa Makazi Yao mengi kujengwa kwenye maeneo ambayo hayajapimwa na hivyo.
Mikoa 10 inayoongoza Kwa kuwa na uswahili mwingi yaani slums or Squatters ni kama ifuatavyo ;
1.Kagera 85.9%
2.Simiyu 82.4%
3.Geita 77.5%
4.Singida 77%
5.Songwe 75.7%
6.Tabora 74.3%
7.Kilimanjaro 74%
8.Tanga 72.8%
9.Katavi 72.7%
10.Manyara 72.2%
NB
Matokeo haya ni Kwa mujibu wa sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2022 by NBS.
View attachment 3184454
My Take
Kwa mara nyingine Mbeya haipo kwenye Mikoa ya hovyo huku Mikoa ya watu wenye majigambo ikiwa ni miongoni mwa watu wanaishi bila ustaarabu mfano Kagera na Kilimanjaro.
Mikoa ambayo walau Ina kiwango Nafuu Cha Mipango Miji ni
-Dar
-Kigoma
-Mbeya
-Iringa
-Morogoro
-Mwanza
-Arusha
Pia soma Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na Mwanza
Tatizo ni serikali. Ila watu wanajenga Nyumba za maana japo zipo vichochoroniKukosekana kwa Dar ni sawa na kukosekana kwa Mbeya. Yaani hiyo mikoa ina ujenzi holela ni balaa. Utadhani mtu alikuwa anamwaga mpunga kumbe ni nyumba. Ikitokea ajali ya moto nyumba moja ikaungua unakuwa ni msururu wa nyumba zaidi ya 10 kuungua.
Report haijasema ujenzi holela. Umejitungia tuSoma ripoti Wacha kukurupuka
Imesemaje?Report haijasema ujenzi holela. Umejitungia tu
Asilimia kubwa ya nyumba squatters sio za maana,soma hapa Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na MwanzaTatizo ni serikali. Ila watu wanajenga Nyumba za maana japo zipo vichochoroni
Tatizo lako wewe unapenda ligi za kiboya.. huko Arusha wamekukosea nini?Asilimia kubwa ya nyumba squatters sio za maana,soma hapa Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na Mwanza
Acha utoto basi wewe mbumbumbu,Mimi ndio nilifanya sensa?Tatizo lako wewe unapenda ligi za kiboya.. huko Arusha wamekukosea nini?
Badala wajirekebishe wao wanaona wametukanwa 😆😆Ha ha aisee, wengi wetu ni wajinga. Hili si tusi.