ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Dola ya Marekani ndio medium of exchange? Harafu hii inahusianaje na mada?Sema nini, shilingi imeshuka sana thamani ila watanzania hawazingatii anguko la shilingi yetu.
Weka kwa dola ya marekani ndio utaona tunavyojitekenya na kucheka wenyewe.
Sidhani kama kuna shida labda wewe ndio una shida ya kutafsiri takwimu.Unajua hizi takwimu zina shida kubwa.
Mfano mbaazi inayolimwa huko Babati au Arusha ikiuzwa nje ya nchi kupitia bandari ya Dar hesabu za TRA zitasoma mapato ni Dar.
Hongera kwa kujibu maswaliSidhani kama kuna shida labda wewe ndio una shida ya kutafsiri takwimu.
Mbaazi Ina Mnyororo wa thamani ambao unaweza anzia shambani Bahati Hadi sokoni India Kila mtu na nafasi yake.
Mzalishaji anauza tena Kwa Mnada wa online analipwa chake ,kile chake kama ameingiziwa kwenye account au cash atapokea hela yake lakini kaka amesafirisha na kuja kuuzia Dar hapo muamala utasoma Dar lakini uhalisia ni kwamba wanunuzi wengii wanafuata kule uzalishaji uliko so sioni shida.
Mwisho Kila mtu atapata chake kulingana na value chain ya bidhaa au Huduma , haiwezekani Zambia azalishe Madini kwao harafu akiezport ,eti ushuru wa kutumia Bandari yetu Wapewe wao,hakuna kitu kama hicho,ndio mfano unaogopa wewe hapa.Akiyefabya exports ndio atapata hela la sivyo fanya export Kwa ndege hapo hapo Mkoani kwako kama una uwanja ila kama huna imekukata.
Dola ndio mkata fitna, shilingi ya 2019 ni kubwa kuliko ya leo 2024. Sasa kama 2019 pato ni 1,200,000 alafu thamani ya shilingi ikaporomoka kwa 15% pato la 2024 likawa ni 1,250,000 hapo ongezeko ni lipi?Dola ya Marekani ndio medium of exchange? Harafu hii inahusianaje na mada?
Mwisho bei zinazotumika kuthaminisha uchumi ni za mwaka 2019 so kama ni exchange rate ambayo NBS wameitumia ni ya 2019 na sio Sasa hivi.Walishafikiria Hilo kabla Yako.
Takwimu za kiccm sn...matajiri wamezidi kuwa matajiri zaidi halafu unawaweka na maskini wamezidi kuwa mafukara halafu kwenye wastani wanachanganywa.Ww uonamvyo mkuu watoa takwimu wapo sahihi kulingana na Hali uionavyoo hapo uliopo😔
Lengo la kutumia thami ya nyuma kuthaminisha uzalishaji wa Sasa hivi ni kukabiliana na inflation Kwa hiyo figure ziko sawa ,zingetumika za Sasa ingekuwa kubwa zaidi.Dola ndio mkata fitna, shilingi ya 2019 ni kubwa kuliko ya leo 2024. Sasa kama 2019 pato ni 1,200,000 alafu thamani ya shilingi ikaporomoka kwa 15% pato la 2024 likawa ni 1,250,000 hapo ongezeko ni lipi?
Hakuna mtu atakuwa Tajiri kama hakuna wanunuzi na huwezi nunua kama huna kipato Kwa hiyo sioni logic YakoTakwimu za kiccm sn...matajiri wamezidi kuwa matajiri zaidi halafu unawaweka na maskini wamezidi kuwa mafukara halafu kwenye wastani wanachanganywa.
Random statistic! 😳Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Random kivipi?Random statistic! 😳
Una hoja mkuu 'Ngongo'.Mimi nimeshauza Kunde,Choroko & Dengu nje ya nchi, si mkaazi wa Dar lakini taratibu zote za mauzo (agent & kodi) zilifanyika Dar.
Bomba la mafuta ya Uganda litakapokamilika uenda Mkoa wa Tanga ukashika nafasi ya pili kwa mapato.Takwimu hazitaangalia bomba linakopita au lilopoanzia.
Wacha kebehi Kwa Wachumi,hakuna upepo unaopimwa Bali ni research findings ndio zinaleta hayo majibu.Una hoja mkuu 'Ngongo'.
Lakini haya yote yanatokana na jinsi hiyo taaluma ya uchumi ilivyo, siyo sayansi, mambo mengi ni "kupima upepo" na kutabiri hali kutokana na upepo unavyo vuma.
Najuwa wenyewe wenye taaluma yao wanabisha sana juu ya hili.
Nawe ni mchumi?Wacha kebehi Kwa Wachumi,hakuna upepo unaopimwa Bali ni research findings ndio zinaleta hayo majibu.
Yes sirNawe ni mchumi?
SAWA.Yes sir
NimeivaSAWA.
Kwa hiyo tuseme bado ni "mchumi mbichi", bado hujaiva sawasawa. Akili yako bado ipo kwenye "kutapika" yale uliyo kariri vitabuni zaidi badala ya kuyatumia kwa uelewa husika kufuatana na hali halisi ilivyo.
Bado sana. Usighaili ushauri. Unao mwelekeo, lakini bado unachanganya mambo sana, bila shaka kwa sababu binafsi tu za kupenda kuwa chawa.Nimeiva
🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani Mimi nafuata nyayo za Prof.Muhamad Yusuf Rais wa Mpito wa Bangladesh na mshindi wa tuzo ya Nobel kwenye Uchumi.Bado sana. Usighaili ushauri. Unao mwelekeo, lakini bado unachanganya mambo sana, bila shaka kwa sababu binafsi tu za kupenda kuwa chawa.
Simjui huyo, lakini nadhani hata katika taarifa hiyo hiyo bado ina makosa. Una uhakika kwamba ni "Rais wa mpito" na siyo "Waziri Mkuu wa Mpito"?🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani Mimi nafuata nyayo za Prof.Muhamad Yusuf Rais wa Mpito wa Bangladesh na mshindi wa tuzo ya Nobel kwenye Uchumi.