ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #61
Hiyo hiyo PM wa Mpito,google utamjua tuuSimjui huyo, lakini nadhani hata katika taarifa hiyo hiyo bado ina makosa. Una uhakika kwamba ni "Rais wa mpito" na siyo "Waziri Mkuu wa Mpito"?
Ngoja nitazame kama habari yako hii ni ya kweli!
Kwanza wala siyo 'Yusuf', hilo jina wewe umelipata wapi?
Unaona sasa?Hiyo hiyo PM wa Mpito,google utamjua tuu
Jikite kwenye hojaUnaona sasa?
Huwa mara nyingi napoteza 'interest' na subira na watu wa aina yako haraka sana. Hizi tabia za ubabaishaji ndizo mmezijaza huko kwnye chama na sasa hadi serikalini.
Hovyo kabisa.
Wewe ni bwege kamna ulivyo siku zote!Jikite kwenye hoja
Unapoteza focus wewe buyu,jikite kwenye hojaWewe ni bwege kamna ulivyo siku zote!
Nilisema bado "nakusoma" nijue pa kukuweka. Sasa sina shaka tena, wewe ni 'bogus'; huna lolote la maana.Unapoteza focus wewe buyu,jikite kwenye hoja
Inatakiwa kuisoma hoja sio kunisoma Mimi ,unazinguaNilisema bado "nakusoma" nijue pa kukuweka. Sasa sina shaka tena, wewe ni 'bogus'; huna lolote la maana.
Mwaka mzimaHizi data ni kipato cha mwezi mmoja ama mwaka mzima?
Hoja gani toka kwa mtu asiye na ufahamu juu ya anacho zungumzia? Unacho fanya humu wewe ni kuokota tu taarifa ambazo huzielewi vizuri na kuziletta hapa kujionyesha unao ujuzi juu yake.Inatakiwa kuisoma hoja sio kunisoma Mimi ,unazingua
Nimekaa Mikoa ya Kusini kwa muda mrefu. Kilichowainua karibuni ni upendeleo wa wazi wa serikali ktk mikoa hiyo na siyo ushindani wa wenyeji wake Kimikoa kujiletea maendeleo. Tuwe wakweli.Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Kaskazini mikoa yote IPO top 10Ndio wako sahihi kabisa unless uje na takwimu zako tofauti na hizi kuwakanusha.
Nyanda za Juu inawakiloshwa vyema kabisa na Mikoa 4.
Upendeleo wa kiaje?Nimekaa Mikoa ya Kusini kwa muda mrefu. Kilichowainua karibuni ni upendeleo wa wazi wa serikali ktk mikoa hiyo na siyo ushindani wa wenyeji wake Kimikoa kujiletea maendeleo. Tuwe wakweli.
Jadili hoja badala ya Kuni analyse Mimi.Hoja gani toka kwa mtu asiye na ufahamu juu ya anacho zungumzia? Unacho fanya humu wewe ni kuokota tu taarifa ambazo huzielewi vizuri na kuziletta hapa kujionyesha unao ujuzi juu yake.
Nikiona hoja halisi, nitazijadili, na hoja hafifu/batili nitazieleza kama zilivyo. Mara nyingi unakuja humu na hoja batili, na kama ni hoja halisi unaweka tafsiri iliyo batili. Hilo ndilo ninalokueleza mara nyingi, hata kama hupendi kusikia.Jadili hoja badala ya Kuni analyse Mimi.
Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?