much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Nilikuwa namuuliza huyo jamaa anaelalamikia Mara kuwa na mapato makubwa huku ikiwa Haina vyonzo vya mapato huku mbuga kubwa ya segment na moja ya maajabu sana yanapatikana mkoani kwaoMara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa namuuliza huyo jamaa anaelalamikia Mara kuwa na mapato makubwa huku ikiwa Haina vyonzo vya mapato huku mbuga kubwa ya segment na moja ya maajabu sana yanapatikana mkoani kwaoMara
Mnafurahia mikoa kuwa na mapato makubwa ikiwa wananchi masikini wa kutupwa.Nilikuwa namuuliza huyo jamaa anaelalamikia Mara kuwa na mapato makubwa huku ikiwa Haina vyonzo vya mapato huku mbuga kubwa ya segment na moja ya maajabu sana yanapatikana mkoani kwao
Halafu wananchi masikini wa kutupwa!Kuna migodi ya dhahabu kama yote kule,kilimo ni mwaka mzima,viwanda vya samaki,maziwa, pamba na pia kuna boda ya sirali.
We usiangalie tanga jiji pekee anglia wilaya zake, mf Korogwe, Lushoto na muheza pia zinachangia pakubwa.Mikoa mingi tu inafufuka yaani apanajiuliza tabora wakiigawa sijui itakuaje🤐🤐.
Kwaiyo unataka hao masikini wapewe pesa?Mnafurahia mikoa kuwa na mapato makubwa ikiwa wananchi masikini wa kutupwa.
We jamaa tunauwezo wa kukupa uwaziri na ukafit vizuri tuMikoa yote ya Kaskazini Ina border posts na Nchi yenye uchumi mkubwa EAC na largest trading Partner wa Tzn so lazima watafanya vizuri.
Pili Ina Utalii ambao ni Moja ya taxable activity sana.
Mbeya Ina migodi ya Wachimbaji Wadogo ambao sio walipakodi wakubwa ingawa kule kwenye Mapato ya Tume ya Madini,Mbeya inaongoza.
Mwisho Mikoa yenye migodi mikubwa kama Geita,Mara nk haijatokea hapo Kwa sababu Mapato yake Yako kwenye Large Tax Payers ambao hawajayachanganua.
GDP ndio inatoka taswira halisi ya Mchango wa Mkoa kwenye Uchumi maana Ina account Kila economic activity na value yake.