Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Mnafurahia kodi ndogo kama hiyo na nyie ndio mnashikilia utalii wa nchi, ina maanisha utalii umeshuka sana kutoka kukusanya 500B adi 300B ina maanisha sekta ya utalii imeporomoka sana, mapato ya ngorongoro tu ni zaidi ya 250B bado serengeti mlitakiwa mkusanye kuanzia 1T, nyie ni underdog tu kwa Mwanza ambayo mapato yote yanatokana na wananchi wenyewe wala sio pesa za watalii wa kizungu.
Serengeti iko mara sio Arusha na utalii hauko Arusha pekee acha upotoshaji??
Arusha mbuga ya maana Ngorongoro pekee
 
Mnafurahia kodi ndogo kama hiyo na nyie ndio mnashikilia utalii wa nchi, ina maanisha utalii umeshuka sana kutoka kukusanya 500B adi 300B ina maanisha sekta ya utalii imeporomoka sana, mapato ya ngorongoro tu ni zaidi ya 250B bado serengeti mlitakiwa mkusanye kuanzia 1T, nyie ni underdog tu kwa Mwanza ambayo mapato yote yanatokana na wananchi wenyewe wala sio pesa za watalii wa kizungu.
Mapato Ar haihusiani na utalii? Unaelewa?
 
Tanga bado kama mapato ni 100k miezi mitano pamoja na bandari mtasubiri Sana! Arusha ni 450 kwa mwaka Bola utalii
Kuna Bilioni 100 za TPA na Bilioni 154 za TRA.

Jumla hapo ni Bln 250 plus ndani ya miezi 5 tuu ,Hadi June 2025 itakuwa Times 2 .

Arusha mnaenda kukalishwa Wala halina ubishi.
 
Kuna Bilioni 100 za TPA na Bilioni 154 za TRA.

Jumla hapo ni Bln 250 plus ndani ya miezi 5 tuu ,Hadi June 2025 itakuwa Times 2 .

Arusha mnaenda kukalishwa Wala halina ubishi.
Uchumi wa Arusha uko diverse. Sio rahisi kupitwa kama unavyoona wewe. Uchumi ambao hautemei aina moja ya njia za uzalishaji mali. Arusha pia imepakana na Uchumi Mkubwa Africa ya Mashariki na Kati na zaidi karibu kabisa na Jiji lenye uchumi Mkubwa zaidi Africa ya Mashariki na Kati.
Arusha ina shughuli za kiuchumi zinazotozeka kodi(taxable economic activities) nyingi zaidi nchini second only to Dar es Salaam. Arusha imekuwa ya 2 kwa kodi nchini consistently for more than 30 years.
Tanga kuitpita inahitaji economic miracle.
 
Uchumi wa Arusha uko diverse. Sio rahisi kupitwa kama unavyoona wewe. Uchumi ambao hautemei aina moja ya njia za uzalishaji mali. Arusha pia imepakana na Uchumi Mkubwa Africa ya Mashariki na Kati na zaidi karibu kabisa na Jiji lenye uchumi Mkubwa zaidi Africa ya Mashariki na Kati.
Arusha ina shughuli za kiuchumi zinazotozeka kodi(taxable economic activities) nyingi zaidi nchini second only to Dar es Salaam. Arusha imekuwa ya 2 kwa kodi nchini consistently for more than 30 years.
Tanga kuitpita inahitaji economic miracle.
Hata Tanga inapakana na Uchumi mkubwa pia.

With Tanga Port Hilo litawezekana.
 
Yaani Kagera hii mliyo tuaminisha hapa kuwa ni miongoni mwa mikoa yenye umasikini uliokithiri ukifuatiwa na Lindi, leo Iko kwenye mikoa kumi iliyochangia pato la taifa 2023?.

Tumshutumu nani wanakagera au serikali inayokusanya mapato kwa umasikini wa mkoa huo?.

Je hizi data huwa ni za kupikwa jikoni au zina uhalisia?
 
Kutoka kwenye takwimu za Mapato ya Kodi za TRA yaani Regional Tax Statistics za mwaka 2023/2024 zimebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia Mapato makubwa ya Kodi Kwa mwaka 2023.

Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na zaidi.

Orodha hiyo Kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 inasomeka kama ifuatavyo;(Figures are in "000" Million Tanzania Shillings).

1. Dar es Salaam =7,416.95
2. Arusha =356.28
3. Kilimanjaro =234.88
4. Tanga =203.28
5. Songwe = 176.81
6. Dodoma =163.17
7. Mwanza =160.66
8. Mara =143.13
9. Kagera =118.94
10. Mtwara =116.44
11. Mbeya =85.10
12. Morogoro =67.60
13. Pwani =60.60

View attachment 3063007

My Take
1.Vyanzo vya Kodi kama Utalii, Property Tax,OPMU,MTD na Large Tax Payers Sio sehemu ya takwimu za Mikoa Kwa sababu ni Kodi ya Jumla ambayo Haina mchanganuo wa Mkoa ilikokusanywa.

2.Figurrs za Mkoa wa Dar es Salaam zimehusisha Mikoa ya kikodi iliyoko Dar ambayo ni Ilala,Kinondoni,Temeke,Tegeta,Kariakoo,DSM Service Centre na JNIA.

✓Credits;TRA Regional Tax Statistics 2023/2024.

Observation
•Mapato ya Kodi Kwa Mikoa Mingi mwaka ulioisha wa 2023/2024 Yalishuka sana ukilinganisha na Mwaka 2022/2023. Huenda Mvua za El Nino zilichangia Hali hiyo na sababu zingine.Utalii na Makaa ya Mawe viliokoa jahazi.

•Mkoa wa Mtwara umefanya vizuri Sana kwenye Mapato Kwa sababu ya Bandari ya Maboresho ya Bandari ya Mtwara ,amri ya Rais kusafirisha korosho Kupitia mtwara na Kusafirisha shehena kubwa kabisa ya Makaa ya Mawe kutoka Ruvuma na Njombe.

•Mwanza inazidi kupotea kwenye Ramani ya Uchumi wa Tanzania huku nafasi yake ikichukuliwa na Mikoa mingine.Mlioko Mwanza Jiji lenu limekumbwa na nini Hadi shughuli za Uchumi zinazorota?

Mwisho.
•Pamoja kwmaba TRA ndio taasisi mama ya kukusanya Mapato ila Tanzania Ina taasisi nyingi sana zinazokusanya Mapato ya Serikali,hivyo mchango wa Mkoa kwenye Uchumi wa Nchi unapimwa sawaia Kupitia GDP.

Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi hivyo uchukuliwe Kwa muktadha huo.Taasisi Zenye mamlaka husika ndio zitafanya Uchambuzi wake wa kina kama zikiona inafaa.

View: https://www.instagram.com/p/DF2W-INMwCJ/?igsh=MWdwMXY3ZW4yODE0NA==
 
Mapato ya serengeti national park yangekua yanapitia mkoa wa mara direct, arusha isingekuwepo kwenye hii list, na Mara ingekua nafasi ya pili.
 
Kutoka kwenye takwimu za Mapato ya Kodi za TRA yaani Regional Tax Statistics za mwaka 2023/2024 zimebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia Mapato makubwa ya Kodi Kwa mwaka 2023.

Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na zaidi.

Orodha hiyo Kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 inasomeka kama ifuatavyo;(Figures are in "000" Million Tanzania Shillings).

1. Dar es Salaam =7,416.95
2. Arusha =356.28
3. Kilimanjaro =234.88
4. Tanga =203.28
5. Songwe = 176.81
6. Dodoma =163.17
7. Mwanza =160.66
8. Mara =143.13
9. Kagera =118.94
10. Mtwara =116.44
11. Mbeya =85.10
12. Morogoro =67.60
13. Pwani =60.60

View attachment 3063007

My Take
1.Vyanzo vya Kodi kama Utalii, Property Tax,OPMU,MTD na Large Tax Payers Sio sehemu ya takwimu za Mikoa Kwa sababu ni Kodi ya Jumla ambayo Haina mchanganuo wa Mkoa ilikokusanywa.

2.Figurrs za Mkoa wa Dar es Salaam zimehusisha Mikoa ya kikodi iliyoko Dar ambayo ni Ilala,Kinondoni,Temeke,Tegeta,Kariakoo,DSM Service Centre na JNIA.

✓Credits;TRA Regional Tax Statistics 2023/2024.

Observation
•Mapato ya Kodi Kwa Mikoa Mingi mwaka ulioisha wa 2023/2024 Yalishuka sana ukilinganisha na Mwaka 2022/2023. Huenda Mvua za El Nino zilichangia Hali hiyo na sababu zingine.Utalii na Makaa ya Mawe viliokoa jahazi.

•Mkoa wa Mtwara umefanya vizuri Sana kwenye Mapato Kwa sababu ya Bandari ya Maboresho ya Bandari ya Mtwara ,amri ya Rais kusafirisha korosho Kupitia mtwara na Kusafirisha shehena kubwa kabisa ya Makaa ya Mawe kutoka Ruvuma na Njombe.

•Mwanza inazidi kupotea kwenye Ramani ya Uchumi wa Tanzania huku nafasi yake ikichukuliwa na Mikoa mingine.Mlioko Mwanza Jiji lenu limekumbwa na nini Hadi shughuli za Uchumi zinazorota?

Mwisho.
•Pamoja kwmaba TRA ndio taasisi mama ya kukusanya Mapato ila Tanzania Ina taasisi nyingi sana zinazokusanya Mapato ya Serikali,hivyo mchango wa Mkoa kwenye Uchumi wa Nchi unapimwa sawaia Kupitia GDP.

Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi hivyo uchukuliwe Kwa muktadha huo.Taasisi Zenye mamlaka husika ndio zitafanya Uchambuzi wake wa kina kama zikiona inafaa.
Kipindi cha jiwe kuna igizo lilifanyika eti dodoma chini ya mkurugenzi wa jiji ndugu kunambi iliongoza kwa makusanyo
 
mkoa wa Mara mnaweza kuonesha vyanzo vyake mpaka ikaipiku mikoa kama Morogoro na ikawa imepishana kidogo na Mwanza.
Kuna migodi ya dhahabu kama yote kule,kilimo ni mwaka mzima,viwanda vya samaki,maziwa, pamba na pia kuna boda ya sirali.
 
Back
Top Bottom