Umefanya analysis ndogo sana.Kwa mfano tuchukue taasisi zote za Serikali zinazokusanya pesa , unadhani hiyo Mikoa yote itaizisi Mbeya?
-Mapato ya Halmashauri
-Tume ya Madini
-Vyama vya Ushirika wa mazao
-Utalii
-Tanesco
-Ewura
-Mamlaka ya Bandari
-Tazara
-TBS
-Walipakodi wakubwa mfano TBL,Vodacom,Coca-cola,Mbeya Cement nk ,,Mkoa gani utazidi Mbeya ukiacha Dar,Mwanza labda na Arusha ingawa sidhani (10.8T-8.8T=2T),hii ni Gap kubwa.
So inaelekea hujajua vyema tafsiri ya GDP,ukitoa Government Spending kwingine kote ni flow ya hela.