ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #101
Kwa maana ya Mapato ya Mkoa kutoka chanzo Cha TRA haihusiani.Jibu basi swali!
Mapato ya majiji hayajumuishwi kwenye mapato ya mkoa?
Lazima ujue kuna vyanzo vya TRA,vyanzo vya Halmashauri,Vyanzo vya Taasisi zingine mfano Tume ya Madini,TCRA,TMDA , Mahospital nk zote hizo ni taasisi zinakusanya pesa.
Ila wakusanyaji Wakuu ni TRA(Kodi) ,so Mapato ya TRA hayahusiani na ya Halmashauri