Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Mikoa yote ya Kaskazini Ina border posts na Nchi yenye uchumi mkubwa EAC na largest trading Partner wa Tzn so lazima watafanya vizuri.

Pili Ina Utalii ambao ni Moja ya taxable activity sana.

Mbeya Ina migodi ya Wachimbaji Wadogo ambao sio walipakodi wakubwa ingawa kule kwenye Mapato ya Tume ya Madini,Mbeya inaongoza.

Mwisho Mikoa yenye migodi mikubwa kama Geita,Mara nk haijatokea hapo Kwa sababu Mapato yake Yako kwenye Large Tax Payers ambao hawajayachanganua.

GDP ndio inatoka taswira halisi ya Mchango wa Mkoa kwenye Uchumi maana Ina account Kila economic activity na value yake.
Hiyo migodi mikubwa inamilikiwa na wazawa?? GDP sio kipimo sahihi cha utajiri wa wakazi wa mkoa husika..
 
Mzee ulizia vizuri makusanyo ya tozo za huduma za taasisi za umma katika ofisi za Kanda ya Kaskazini ambazo nyingi zipo Arusha au ofisi za mikoa na makusanyo ya ofisi za Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ambao nyingi zipo Mbeya. Mbeya ni mkoa mdogo kiuzalishaji isipokuwa mazao ya chakula na kitimoto.
Miamala ya Kanda ya Kaskazini Iko kwenye Mikoa yote ya hapo Kaskazini Kwa sababu inalingana Kwa level ya Uchumi as far as GDP is concerned labda Arusha imezidi kidogo tuu.

Turudie Kwa Mbeya,pengine hujui Nguvu ya Uchumi ya Mbeya na aina za activities ambazo zinafanyika Mbeya lakini miamala ya malipo inasoma Dar.

Mfano mwingine huu hapa wa TOL gases 👇👇
Screenshot_20240807-201115.jpg
Screenshot_20240807-201159.jpg


On top of that kuna kubwa lao,unajua hii biashara kwamba Iko Mbeya? 👇👇
Screenshot_20240807-201855.jpg
Screenshot_20240807-201821.jpg


My Take: Kampuni zote hizo zinasoma Dar japo source ya Mali yake ni Mbeya.
 
Hiyo migodi mikubwa inamilikiwa na wazawa?? GDP sio kipimo sahihi cha utajiri wa wakazi wa mkoa husika..
Hoja ni mchango wa Mkoa kwenye Uchumi sio ishu ya maisha ya watu,Hilo Lina mada yake
 
mkoa wa Mara mnaweza kuonesha vyanzo vyake mpaka ikaipiku mikoa kama Morogoro na ikawa imepishana kidogo na Mwanza.
Migodi kama north mara, uvuvi ziwa victoria, tourism, ufugaji, mpaka na kenya ( export and import).
 
Kutoka kwenye takwimu za Mapato ya Kodi za TRA yaani Regional Tax Statistics za mwaka 2023/2024 zimebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia Mapato makubwa ya Kodi Kwa mwaka 2023.

Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na zaidi.

Orodha hiyo Kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 inasomeka kama ifuatavyo;(Figures are in "000" Million Tanzania Shillings).

1. Dar es Salaam =7,416.95
2. Arusha =356.28
3. Kilimanjaro =234.88
4. Tanga =203.28
5. Songwe = 176.81
6. Dodoma =163.17
7. Mwanza =160.66
8. Mara =143.13
9. Kagera =118.94
10. Mtwara =116.44
11. Mbeya =85.10
12. Morogoro =67.60
13. Pwani =60.60

View attachment 3063007

My Take
1.Vyanzo vya Kodi kama Utalii, Property Tax,OPMU,MTD na Large Tax Payers Sio sehemu ya takwimu za Mikoa Kwa sababu ni Kodi ya Jumla ambayo Haina mchanganuo wa Mkoa ilikokusanywa.

2.Figurrs za Mkoa wa Dar es Salaam zimehusisha Mikoa ya kikodi iliyoko Dar ambayo ni Ilala,Kinondoni,Temeke,Tegeta,Kariakoo,DSM Service Centre na JNIA.

✓Credits;TRA Regional Tax Statistics 2023/2024.

Observation
•Mapato ya Kodi Kwa Mikoa Mingi mwaka ulioisha wa 2023/2024 Yalishuka sana ukilinganisha na Mwaka 2022/2023. Huenda Mvua za El Nino zilichangia Hali hiyo na sababu zingine.Utalii na Makaa ya Mawe viliokoa jahazi.

•Mkoa wa Mtwara umefanya vizuri Sana kwenye Mapato Kwa sababu ya Bandari ya Maboresho ya Bandari ya Mtwara ,amri ya Rais kusafirisha korosho Kupitia mtwara na Kusafirisha shehena kubwa kabisa ya Makaa ya Mawe kutoka Ruvuma na Njombe.

•Mwanza inazidi kupotea kwenye Ramani ya Uchumi wa Tanzania huku nafasi yake ikichukuliwa na Mikoa mingine.Mlioko Mwanza Jiji lenu limekumbwa na nini Hadi shughuli za Uchumi zinazorota?

Mwisho.
•Pamoja kwmaba TRA ndio taasisi mama ya kukusanya Mapato ila Tanzania Ina taasisi nyingi sana zinazokusanya Mapato ya Serikali,hivyo mchango wa Mkoa kwenye Uchumi wa Nchi unapimwa sawaia Kupitia GDP.

Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi hivyo uchukuliwe Kwa muktadha huo.Taasisi Zenye mamlaka husika ndio zitafanya Uchambuzi wake wa kina kama zikiona inafaa.
Hizi ni takwimu za mikoa katika mapato ya TRA sio takwimu za majiji ,kwenye mapato ya halmashauri jiji la mwanza katika halmashauri za mikoani wanapitwa na dodomà tu
 
Kutoka kwenye takwimu za Mapato ya Kodi za TRA yaani Regional Tax Statistics za mwaka 2023/2024 zimebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia Mapato makubwa ya Kodi Kwa mwaka 2023.

Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na zaidi.

Orodha hiyo Kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 inasomeka kama ifuatavyo;(Figures are in "000" Million Tanzania Shillings).

1. Dar es Salaam =7,416.95
2. Arusha =356.28
3. Kilimanjaro =234.88
4. Tanga =203.28
5. Songwe = 176.81
6. Dodoma =163.17
7. Mwanza =160.66
8. Mara =143.13
9. Kagera =118.94
10. Mtwara =116.44
11. Mbeya =85.10
12. Morogoro =67.60
13. Pwani =60.60

View attachment 3063007

My Take
1.Vyanzo vya Kodi kama Utalii, Property Tax,OPMU,MTD na Large Tax Payers Sio sehemu ya takwimu za Mikoa Kwa sababu ni Kodi ya Jumla ambayo Haina mchanganuo wa Mkoa ilikokusanywa.

2.Figurrs za Mkoa wa Dar es Salaam zimehusisha Mikoa ya kikodi iliyoko Dar ambayo ni Ilala,Kinondoni,Temeke,Tegeta,Kariakoo,DSM Service Centre na JNIA.

✓Credits;TRA Regional Tax Statistics 2023/2024.

Observation
•Mapato ya Kodi Kwa Mikoa Mingi mwaka ulioisha wa 2023/2024 Yalishuka sana ukilinganisha na Mwaka 2022/2023. Huenda Mvua za El Nino zilichangia Hali hiyo na sababu zingine.Utalii na Makaa ya Mawe viliokoa jahazi.

•Mkoa wa Mtwara umefanya vizuri Sana kwenye Mapato Kwa sababu ya Bandari ya Maboresho ya Bandari ya Mtwara ,amri ya Rais kusafirisha korosho Kupitia mtwara na Kusafirisha shehena kubwa kabisa ya Makaa ya Mawe kutoka Ruvuma na Njombe.

•Mwanza inazidi kupotea kwenye Ramani ya Uchumi wa Tanzania huku nafasi yake ikichukuliwa na Mikoa mingine.Mlioko Mwanza Jiji lenu limekumbwa na nini Hadi shughuli za Uchumi zinazorota?

Mwisho.
•Pamoja kwmaba TRA ndio taasisi mama ya kukusanya Mapato ila Tanzania Ina taasisi nyingi sana zinazokusanya Mapato ya Serikali,hivyo mchango wa Mkoa kwenye Uchumi wa Nchi unapimwa sawaia Kupitia GDP.

Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi hivyo uchukuliwe Kwa muktadha huo.Taasisi Zenye mamlaka husika ndio zitafanya Uchambuzi wake wa kina kama zikiona inafaa.
Inamaana Dar inaizidi mikoa yote combine together
 
Mkuu haya sio mapato ya halmashauri ,kwenye mapato ya halmashauri jiji la mbeya kwa sasa wako around bil 12 na manispaa ya moshi wako around bil 8
Jibu basi swali!
Mapato ya majiji hayajumuishwi kwenye mapato ya mkoa?
 
Mkuu haya sio mapato ya halmashauri ,kwenye mapato ya halmashauri jiji la mbeya kwa sasa wako around bil 12 na manispaa ya moshi wako around bil 8
Ni zaidi ya Bilioni 20,,Mapato ya Halmashauri Kwa Mkoa wa Mbeya 👇👇
juma_zuberi_homera_1720609958796204.jpg
 
Uko sahihi kabisa nilimsikia mulokozi tajiri wa babati mwenye viwanda vya vinywaji vikali akisema amehamishiwa dar
Nadhani anaenda kukadiriwa Kodi huko na control namba anatengebezewa na kitengo Cha walipakodi wakubwa.

Sasa siwaelewi TRA kwamba Mikoani hawawezi kulipa au pengine banks Kwa Mikoani Zina limit za miamala au ikoje ,sijajua vizuri ila ngoja niwaulize wafanyabiashara wakubwa inakuaje kuaje.
 
Back
Top Bottom