Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

We Pimbi hujui kitu.
Wewe mbumbumbu,hizo 11.3T za Large Tax Payers wapi zimehesabiwa kama Mapato ya Mkoa wa Dar?

Dar hapo Juu Ina 7.4T wewe unaongea pumba zako 👇👇
Screenshot_20240806-180002.jpg
 
Hoja gani?
Mkuu 'Nguruvi', tusilifanye hii kuwa kama 'ligi'! Inaonekana kuwa hujanielewa ninaposimamia katika swala zima la muungano.
Hapana sikuongelea muungano.
Hoja ilikuwa miundombinu ukishadidia kushuka kwa uzalishaji mikoa ya kaskazini.
 
Hapana sikuongelea muungano.
Hoja ilikuwa miundombinu ukishadidia kushuka kwa uzalishaji mikoa ya kaskazini.
Allaaaa. Kumbe!
Kuniradhi kwa kuelekea kwingine.

Hoja hiyo, bado sana mkuu 'Nguruvi'. Kukumbatiwa kwa Tanzania na hiyo nchi jirani kuna namna, siyo bure!
Hili ni dhahiri taasisi zetu husika zimelaza akili sana!

Lakini kidogo kidogo tumeanza kutambua ujinga wetu ulipo. Hili linatia matumaini.
 
Wekeni intern airport uone Mwanza inavyopaa
Mwanza ina kila sifa iliyo nayo Dar, ila sifa hizo hazijatumika kwa stahiki inayo tegemewa.
Bandari kusafirisha mizigo kwenda nchi jirani, Uganda na Kenya na mikoa mingine inayoizunguka.
Reli na barabara zinazoingia na kutoka Mwanza
Uwanja wa ndege wa kimataifa
Utalii, kwa ukaribu wake na mbuga za wanyama
Ziwa halijatumika ipasavyo katika uzalishaji wa samamki, hasa ufugaji wa samaki
Viwanda, bado sana. Mahali palipo na watu wengi huwezi kukosa viwanda

Badala ya Mwanza kutegemea kupeleka bidhaa Dar es Salaam pekee, inatakiwa kuwa kitovu cha kusambazia bidhaa. DRC, Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya ni maeneo yanayotakiwa kuitegemea Mwanza kwa kazi hiyo.
Sifa hiyo haitegemei kuombwa kwa yeyote, ni sifa iliyopo kiuhalisia kutokana na eneo ilipo.
 
1. Umeweka Top 13 ili Mbeya tu iwepo🤣🤣🤣

2. Wapi Iringa?

3. Nimependa jinsi Arusha na Kilimanjaro wanavyoiacha mbali Mwanza. Hivi Mwanza ukitoa Ziwa Victoria inabakiwa na nini?

4. Hongereni Kagera. Naona mnakuja kuja
instanbul
Mwanza hakuna kitu pale badala ya samaki peke yake, Mwanza alikuwa juu kabla Geita haijawa mkoa, na Geita itakuja kuipiku Mwanza utashangaa,
 
Kutoka kwenye takwimu za Mapato ya Kodi za TRA yaani Regional Tax Statistics za mwaka 2023/2024 zimebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia Mapato makubwa ya Kodi Kwa mwaka 2023.

Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na zaidi.

Orodha hiyo Kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 inasomeka kama ifuatavyo;(Figures are in "000" Million Tanzania Shillings).

1. Dar es Salaam =7,416.95
2. Arusha =356.28
3. Kilimanjaro =234.88
4. Tanga =203.28
5. Songwe = 176.81
6. Dodoma =163.17
7. Mwanza =160.66
8. Mara =143.13
9. Kagera =118.94
10. Mtwara =116.44
11. Mbeya =85.10
12. Morogoro =67.60
13. Pwani =60.60

View attachment 3063007

My Take
1.Vyanzo vya Kodi kama Utalii, Property Tax,OPMU,MTD na Large Tax Payers Sio sehemu ya takwimu za Mikoa Kwa sababu ni Kodi ya Jumla ambayo Haina mchanganuo wa Mkoa ilikokusanywa.

2.Figurrs za Mkoa wa Dar es Salaam zimehusisha Mikoa ya kikodi iliyoko Dar ambayo ni Ilala,Kinondoni,Temeke,Tegeta,Kariakoo,DSM Service Centre na JNIA.

✓Credits;TRA Regional Tax Statistics 2023/2024.

Observation
•Mapato ya Kodi Kwa Mikoa Mingi mwaka ulioisha wa 2023/2024 Yalishuka sana ukilinganisha na Mwaka 2022/2023. Huenda Mvua za El Nino zilichangia Hali hiyo na sababu zingine.Utalii na Makaa ya Mawe viliokoa jahazi.

•Mkoa wa Mtwara umefanya vizuri Sana kwenye Mapato Kwa sababu ya Bandari ya Maboresho ya Bandari ya Mtwara ,amri ya Rais kusafirisha korosho Kupitia mtwara na Kusafirisha shehena kubwa kabisa ya Makaa ya Mawe kutoka Ruvuma na Njombe.

Mwisho.
•Pamoja kwmaba TRA ndio taasisi mama ya kukusanya Mapato ila Tanzania Ina taasisi nyingi sana zinazokusanya Mapato ya Serikali,hivyo mchango wa Mkoa kwenye Uchumi wa Nchi unapimwa sawaia Kupitia GDP.

Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi hivyo uchukuliwe Kwa muktadha huo.Taasisi Zenye mamlaka husika ndio zitafanya Uchambuzi wake wa kina kama zikiona inafaa.
Mbona haviendani na takwimu za region GDP.
Kuna ukwepaji kodi ama TRA hawafanyi kazi zao sawa sawa.
 
Kutoka kwenye takwimu za Mapato ya Kodi za TRA yaani Regional Tax Statistics za mwaka 2023/2024 zimebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia Mapato makubwa ya Kodi Kwa mwaka 2023.

Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na zaidi.

Orodha hiyo Kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 inasomeka kama ifuatavyo;(Figures are in "000" Million Tanzania Shillings).

1. Dar es Salaam =7,416.95
2. Arusha =356.28
3. Kilimanjaro =234.88
4. Tanga =203.28
5. Songwe = 176.81
6. Dodoma =163.17
7. Mwanza =160.66
8. Mara =143.13
9. Kagera =118.94
10. Mtwara =116.44
11. Mbeya =85.10
12. Morogoro =67.60
13. Pwani =60.60

View attachment 3063007

My Take
1.Vyanzo vya Kodi kama Utalii, Property Tax,OPMU,MTD na Large Tax Payers Sio sehemu ya takwimu za Mikoa Kwa sababu ni Kodi ya Jumla ambayo Haina mchanganuo wa Mkoa ilikokusanywa.

2.Figurrs za Mkoa wa Dar es Salaam zimehusisha Mikoa ya kikodi iliyoko Dar ambayo ni Ilala,Kinondoni,Temeke,Tegeta,Kariakoo,DSM Service Centre na JNIA.

✓Credits;TRA Regional Tax Statistics 2023/2024.

Observation
•Mapato ya Kodi Kwa Mikoa Mingi mwaka ulioisha wa 2023/2024 Yalishuka sana ukilinganisha na Mwaka 2022/2023. Huenda Mvua za El Nino zilichangia Hali hiyo na sababu zingine.Utalii na Makaa ya Mawe viliokoa jahazi.

•Mkoa wa Mtwara umefanya vizuri Sana kwenye Mapato Kwa sababu ya Bandari ya Maboresho ya Bandari ya Mtwara ,amri ya Rais kusafirisha korosho Kupitia mtwara na Kusafirisha shehena kubwa kabisa ya Makaa ya Mawe kutoka Ruvuma na Njombe.

Mwisho.
•Pamoja kwmaba TRA ndio taasisi mama ya kukusanya Mapato ila Tanzania Ina taasisi nyingi sana zinazokusanya Mapato ya Serikali,hivyo mchango wa Mkoa kwenye Uchumi wa Nchi unapimwa sawaia Kupitia GDP.

Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi hivyo uchukuliwe Kwa muktadha huo.Taasisi Zenye mamlaka husika ndio zitafanya Uchambuzi wake wa kina kama zikiona inafaa.

Geita na Shinyanga hakuna top ten pamoja na migodi yote
 
Mwanza ina kila sifa iliyo nayo Dar, ila sifa hizo hazijatumika kwa stahiki inayo tegemewa.
Bandari kusafirisha mizigo kwenda nchi jirani, Uganda na Kenya na mikoa mingine inayoizunguka.
Reli na barabara zinazoingia na kutoka Mwanza
Uwanja wa ndege wa kimataifa
Utalii, kwa ukaribu wake na mbuga za wanyama
Ziwa halijatumika ipasavyo katika uzalishaji wa samamki, hasa ufugaji wa samaki
Viwanda, bado sana. Mahali palipo na watu wengi huwezi kukosa viwanda

Badala ya Mwanza kutegemea kupeleka bidhaa Dar es Salaam pekee, inatakiwa kuwa kitovu cha kusambazia bidhaa. DRC, Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya ni maeneo yanayotakiwa kuitegemea Mwanza kwa kazi hiyo.
Sifa hiyo haitegemei kuombwa kwa yeyote, ni sifa iliyopo kiuhalisia kutokana na eneo ilipo.
Tanzania imejenga Uchumi wa Nchi ambao ni tegemezi Kwa Dar ,haya ndio matokeo yake Sasa.

Pili Mwanza inakabiliwa na ushindani wa Miji mingine kama Kahama,Geita na Katoro.

Mwisho sijaona hiyo jiografia ya Mwanza ya kumhudumia hizo Nchi jirani kama unavyosema.
 
Back
Top Bottom