Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Nilikuwa namuuliza huyo jamaa anaelalamikia Mara kuwa na mapato makubwa huku ikiwa Haina vyonzo vya mapato huku mbuga kubwa ya segment na moja ya maajabu sana yanapatikana mkoani kwao
Mnafurahia mikoa kuwa na mapato makubwa ikiwa wananchi masikini wa kutupwa.
 
We jamaa tunauwezo wa kukupa uwaziri na ukafit vizuri tu
Una info za kutosha na uko very fast

Au usikute we ni mwigulu unaajifanya variable cost 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…