Mikoa ambayo haiendelei kabisa

Ila tabora Ina wanawake wazuri wana matako dah aise waliopo huko wanafaidi sana
 
Anaongelea maendeleo ya mikoa; sio watu
 
kichwa chako siyo kizima. probox yenye namba A inaweza kutembea kwenye rough road?
umesimuliwa huu ujinga
mi nipo hapa tarime ,asilimia 90 ya probox zinatoka tarime kwenda nyamongo na sirari zina namba E
chache zina D
Au unaongelea Mara ipi mkuu
Hata hiyo probox haifahamu mkuu.
Ameandika tu ndio maana hajatoa njia ziwezazo kuleta maendeleo.
Lkn pia haijui tanganyika kwa mapana yake,hajatembelea maeneo mengi ila amekariri.
 
Makao Makuu ya Mkoa wa Simiyu yalifaa kuwa Maswa kuliko Bariadi Maswa ina history ndefu sana kuliko Bariadi.
 
Kuna mtu humu aliandika mkoa wa Simiyu Wilaya Ya itilima , inakadiliwa kua na wachawi/waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Hahahaha . Nmefikaa itilimaa...daah kwa kweli hapana
 
Kuna mtu humu aliandika mkoa wa Simiyu Wilaya Ya itilima , inakadiliwa kua na wachawi/waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Kwa hiyo Tanga tumeizidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana sielewi
 
basi peleka marcopolo G7 kama 5 tu zikawahudumie ndugu zako. alafu waalimu uwajengee nyumba na miundombinu wabaki huko vijijini
Hazilipi labda traffic wazipige marufuku hizo probox.
Zinaitwa mchomoko zinabeba watu Saba,so wakijaa hata watano TU wanatembea sasa coaster hadi ijae saa ngapi watu utaka kuwahi
 
Sijawahi kuona gari lenye injini ya 1NZ ama 2NZ lenye usajili wa namba A.

Kumbe yapo?
 
Hapo probox yenye namba A tumepigwa hebu weka picha tuone
 
acha siasa za economics ya form five tena HGE, kwa kifupi hiyo mikoa ni masikini na haiendelei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…