Mikoa ambayo itakuwa na competition kûbwa Kutokana na wasailiwa kuwa wengi Vs mikoa yenye competition ndogo

October 2pm

Senior Member
Joined
May 2, 2023
Posts
106
Reaction score
282
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Waalimu mmepewa Siku tatu za kufanya mabadiliko katika akaunti zenu kuchagua mikoa àmbayo ntakuwa comfortable kufanya usaili WA mahojiano endapo mtafauku Written.

Choose wisely.
Unaweza ukajikuta umechagua Mkoa weñye wasailiwa wengi zaidi na hiyo kuzidisha chance ya kutoboa.

Kwa Hali ilivyo Mikoa hii inatarajiwa kuwa kimbilio la Wasailiwa wengi na kufanya competition íwe Kûbwa.

1. Mikoa yôte iliyokaribu na Majiji Makubwa kama Morogoro, Kilimanjaro, Manyara,Pwani. Mara, Singida, Simiyu, Iringa.
Mikoa hiyo ukichagua úwe umejipanga haswa. Úwe na Shule.

Mikoa àmbayo haitakuwa na competition kûbwa;
1. Kigoma,
2. Katavi
3. Tanga
4. Ruvuma
5. mtwara.

Mikoa àmbayo itakuwa na ushindani wa Kawaida
1. Dar es salaam
Wasailiwa wengi wataogopa kuchagua Mkoa huu Kwa kudhani kuwa competition NI kûbwa na hivyo wengi watachagua Mikoa ya Karibu kama Pwani na Morogoro.

2. Mwanza.
Huu Mkoa ni Kama Dsm, wengi hawatauchagua Kwa kuogopa ushindani. Jambo ambalo litafanya wasailiwa wawe wakawaida. Wengi watachagua Kahama(shinyanga), Geita,

3. Arusha
4. Dodoma.

Mikoa ya Mbali itakosa ushindani kutokana na hofu ya wasailiwa kuogopa kuchoma nauli yàani kubeti Kwa Jambo ambalo Hawana uhakika nalo. Mikoa ya Kigoma, Kagera , mtwara na Ruvuma Kwa watakaochagua itakuwa kitonga kwani watakuwa wachache.

Wahitimu wengi wàpo mijini na wengi vipato vyao haviwaruhusu kufanya masafa marefu kwani NI gharama. Mjiandae vyema.

Usaili ni Mbinu, uwezo, umahiri na Bahati.
 
Hao walimu nauli za kwenda mikoa ya mbali unadhani wanayo, watabaki palepale walipo. Dar itakuwa na watu wengi sana kama unadhani vijana wa Mpwayungu wataikimbia kuogopa competition umejidanganya.
 
Hao walimu nauli za kwenda mikoa ya mbali unadhani wanayo, watabaki palepale walipo. Dar itakuwa na watu wengi sana kama unadhani vijana wa Mpwayungu wataikimbia kuogopa competition umejidanganya.

Utakuja kuona.
Nauli ya Morogoro elfu 10, Guest elfu 10, chàkula elfu 10. Nauli ya kurudi elfu 10. Jumla elfu hamsini. Mtu hawezi kukosa hiyo, anaweza hata kukopa.

Nauli ya Kibaha elfu 2. Guest elfu 10. Kula elfu Kumi kurudi elfu 2. MTU hawezi Kosa elfu 30.

Dsm wengi waliowajanja hawawezi kuthubutu kuchagua.
Kimbinu Eneo Hilo linahitaji connection isiyotia Shaka, uwezo wa kupata marks za juu yàani úwe top 10 katika Somo Lako. Hakuna wakujaribu
 
Wakati mnaomba mlitegemea nini? Komaeni Sasa si mliambiwa Rukwa Kuna wachawi Sasa ngoja msugue benchi kwanza.
 
Wakati mnaomba mlitegemea nini? Komaeni Sasa si mliambiwa Rukwa Kuna wachawi Sasa ngoja msugue benchi kwanza.

Tatizo la Vijana NI nauli.
MTU atoke Dsm mpaka Rukwa lazima awe na Laki Mbili mfukoni.
Au Mwanza Rukwa
Au Arusha Kigoma au Kagera

Alafu siô Kazi Bali kwenda kushindana, unafikiri kuna mwenye huo ujasiri WA kubet pesa yôte hiyo?
 
Vijana hawana nauli wewe, kusema Majiji yatakuwa na ushindani wa Kawaida ni uongo wa Mchana. Hapo cha muhimu Vijana wajipange tena haswa
 
. Kwa upande wa Afya sijaona ugumu wa oral na written, hata kwa cadre ya walimu itakuwa hivyo hivyo.( hapa nazungumzia ambao kichwani zimo).

. Ikiwezekana ajira portal waendelee hivi hivi.. Ili kuchuja mambumbumbu wasiingie kwenye mfumo.

Unaweza ukashangaa Watu wakapewa paper la form four wapige.

Waalimu walivyo wengi kijana lazima ajihakikishie hashuki chini ya 90% kwèñye Written
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…