Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo mnapokosea kufanya assumptions. Matokeo yanaweza kuwa tofauti kuliko unavyodhaniACHA DHIHAKA, NI TANZANIA YOTE, KWANI KUNA MKOA AMBAO HAUKUUMIZWA NA JIWE?
1. Walimu wanafunzi wa UDOM waliofukuzwa
2. Wafanyabiashara
3. Wanafunzi
4. Vyeti fake
5. Wamachinga .
6. Wafanyakazi
etc etc
BASI WATANZANIA TUTAKUWA MAITIHapa ndipo mnapokosea kufanya assumptions. Matokeo yanaweza kuwa tofauti kuliko unavyodhani
Juzi nilikuwa Morogoro, raia wanalalamkika jinsi Magufuli alivyowadharau kwa kutokufika hata kuomba kura.ACHA DHIHAKA, NI TANZANIA YOTE, KWANI KUNA MKOA AMBAO HAUKUUMIZWA NA JIWE?
1. Walimu wanafunzi wa UDOM waliofukuzwa
2. Wafanyabiashara
3. Wanafunzi
4. Vyeti fake
5. Wamachinga .
6. Wafanyakazi
etc etc
Kumbe wanampenda MAGUFULI ndio mana wamekasirka hajaenda kumwaga SERA Maanina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juzi nilikuwa Morogoro, raia wanalalamkika jinsi magufuli alivyowadharau kwa kutokufika hata kuomba kura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnadhibiti vipi na wakati mshadhibitiwa mpaka sasa?Upinzani unabeba majimbo ya mikoa yote, chamsingi ni kuhakikisha tunathibiti wizi na udanganyifu wa aina yoyote!
Tusiruhusu watu wapenyeze zile kura za wizi au kuchakachua matokeo, Tathminini inaonyesha kama si kuengua wagombea katika majimbo mengine upinzani ulikua umekifuta kabisa chama cha mbogamboga!
Sasa mtu hujui hata karatu iko mkoa gan,nawe unasema ni mtafiti?Unaiweka wapi MANYARA? au hunatarifa? karatu, mbulu mjini mbulu vijijini, hanang ?
Hujui hata karatu ni wilaya ya arusha ?Unaiweka wapi MANYARA? au hunatarifa? karatu, mbulu mjini mbulu vijijini, hanang ?
Ahaa! Si umeshaambiwa safari hakuna cha kumwachia Mungu! We subiri matokeo yatangazwe na ithibitike kuna dhulma ya haki ndipo utajua safari hii watu hatanii tena!Mnadhibiti vipi na wakati mshadhibitiwa mpaka sasa?
Nyuma ya keywords mtafanya mtakacho. Ila kuingia front hamuweziAhaa! Si umeshaambiwa safari hakuna cha kumwachia Mungu! We subiri matokeo yatangazwe na ithibitike kuna dhulma ya haki ndipo utajua safari hii watu hatanii tena!
Na zile kauli za maendeleo hayana chama Mara Yana connection , nazo wananchi wanazichukia, wanataka mabadiliko na kusema wote Ni Watanzania regardless chama. Mpaka sasa Lissu anaweza akanyakua Asilimia 95, hata kula ziibwe vipi.Mikoa yoote imeamka mkuu
Hakuna mkoa ambao hujaadhirika na selikali hii ya mabavu.
Usitegemee mkoa wowote kuiunga mkono CCM watanzania wanazidi kuamka usingizini.
Acha ushoga wewe, CHADEMA walikutesea wapi, kuna mtu CHADEMA wamemteka,wamemfunga, wamemjeruhi. Wakina Ben Saanane wako wapi...walitekwa na CHADEMA. Acha ushamba wa Kisukuma Jamvini.Majimbo yote yanarudi Ccm
Tulichagua Chadema wakaishia kututesa na kutunyanyasa
Acha ushoga wewe, CHADEMA walikutesea wapi, kuna mtu CHADEMA wamemteka,wamemfunga, wamemjeruhi. Wakina Ben Saanane wako wapi...walitekwa na CHADEMA. Acha ushamba wa Kisukuma Jamvini.
Yupo Darlisu yupo wap leo?