Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Watoto wa Pwani ooiyyyeeeeeee👯♂️👯♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa mdgo lkn unaiburuza mikoa mikubwa kimaendeleo,kielimukataja mikoa mingi sana mbona, sijui kwa nini umeona wachaga tu, wakati wachaga wenyewe hawajajaza hata nusu ya mkoa wa Kilimanjaro japo ndio mkoa mdogo zaidi TZ baada ya Dar
Ningeshangaa sana kama usingetokea kwenye uzi huu.Wachaga ni wapishi wazuri mno ndio maana mahotel makubwa wapishi wakuu ni wachaga,hata matamasha ta nyama choma wamiliki ni.wachaga
Kilimanjaro mapishi ndio kwenyewe ndizi ,nyama,mtori
Kundi langu la upishi au kazi.?Mkuu taja kundi lako
Umeongea points sananadhani kupika kila mtu ana asili ya mapishi yake na upishi kulingana na chakula kinachopatikana kwenye mazingira yake msukuma wa shinyanga anajuaje kupika kwa nazi wakati amezoea Samli!?. Mathalani ukichunguza anaosema hawajui kupika utakuta kuna chakula cha asili yao utachokipenda ndio maana utaona kuna restaurant za mataifa mbalimbali ambayo hupika chakula cha asili yao kama ethiopian thailand na mengineo hivyo huwezi sema watu flani hawajui kwa kuwa hawajui kupika chakula ambacho kwao ni cha mapokeo mimi kilimanjaro wananikosha kwa mtori,
kuna harufu ya udini hapa.....Wakuu.
Nimetembelea mikoa mbalimbali katika harakati za kusaka maisha lakini kama mnavofahamu mikoa mingi kuna tamaduni tofauti za mapishi
Kuna mikoa chakula unaweza kula ukaona ladha ya chakula japo ni kwa mama ntilie lakini chakula kitamu na mikoa mingine imejaa laana bin balaa yaani ukila chakula utahisi hadi kuugua homa ya manjano.
A: Mikoa Wanayojitahidi Kupika vizuri
1. Tanga
2. Pwani
3.Lindi
4. Mtwara
5.Dodoma
6. Morogoro
7. Mwanza
8. Kigoma maeneo ya Ujiji
9. Dar Es Salaam.
10. Tabora.
Ifuatayo ni Mikoa yenye laana bin balaa sijui hua wanaloweka au maana chakula asilimia kubwa hakina ladha kabisa.
B:Mikoa hiyo ni Kama Ifuatavo
1. Mara
2.Arusha
3.Manyara
4.Singida
5.Ruvuma
6. Rukwa
7. Katavi
8. Iringa
9. Mbeya
10.Njombe
11.Geita
12. Simiyu
13.Kagera/Bukoba
14. Kilimanjaro.
Huo ni utafiti mdogo kabisa sijui wanatatizo gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo mtafurahi sana mkacheze mnanda kabisa