Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ha hahahaha,hapo ktk sura ngumu na ufupi ni kama umenisema mm vileHata nyie sura ngumu halafu vifupiii!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha hahahaha,hapo ktk sura ngumu na ufupi ni kama umenisema mm vileHata nyie sura ngumu halafu vifupiii!!
Au sioArusha itoe,wachumba tu hao,bangi ndio zinawapa confidence other wise ni nyoronyoro
Kumbe hata huko tanga na kwingineko!Sio Mtwara peke yenu, hiyo ni wanaume wa sehemu za pembezoni mwa bahari walivyo
Huwezi kujua yanayoendelea chumbani mkuu😹😹😹 Ila wanawake na uchawi hatukosi, yani ukalionee wivu jitu km lile 🤣
HeheheSawa Mabandidu. Tumewasikia.
Ni compliment au….? 🤔Kanda ya ziwa kwa ujumla wao unaongezea na Wanyakyusa hapo 😊😊😊
HeheheNaomba uwatoe wanaume wa Arusha!
Wana sura nzuri kunizidi.
Inaonekana watu mnaikubali sana Arusha ila ndio hivyo tena mnaumia kimoyo moyo.List iko poa ila hapo kwenye Arusha umechemka wale ni bangi tu hawana lolote
Inaonakana unafagilia flag ila ndio hivyo tena.Naomba uwatoe wanaume wa Arusha!
Wana sura nzuri kunizidi.
Maoni yanaonyesha umekula hela ya watu wa Arusha.1.Mara
2.Arusha
3.Mwanza
4.Geita
5.Shinyanga
6.Mbeya
7.Rukwa
8.Katavi
9 Songwe
10.Iringa
Nantwombe!Inaonakana unafagilia flag ila ndio hivyo tena.
Naam! Arusha naikubali na napapenda Sana. ila sijakubaliana na hoja ya mtoa mada maana haiendani na watu wa sifa aliyoitajaInaonekana watu mnaikubali sana Arusha ila ndio hivyo tena mnaumia kimoyo moyo.
Karibu chuggastan.
Na shangaa manyara eti nayo ipo kwenye list ya wagumu wakati sehemu nyingi tu unakuta hata kuchimba vyoo vya kujistiri wanashindwa🚮Inaonekana watu mnaikubali sana Arusha ila ndio hivyo tena mnaumia kimoyo moyo.
Karibu chuggastan.
Naiyo mka oko.Nantwombe!
Sijakuelewa
Manyara na Arusha hamna tofauti, wakaka wazuri sanaaNa shangaa manyara eti nayo ipo kwenye list ya wagumu wakati sehemu nyingi tu unakuta hata kuchimba vyoo vya kujistiri wanashindwa🚮
Jesuuu🤭Nantwombe!
Sijakuelewa
Labda ugumu wanaoongelea ni wakuwa na sura mbaya. Sio ile u hardcore wa ki hustlerNa shangaa manyara eti nayo ipo kwenye list ya wagumu wakati sehemu nyingi tu unakuta hata kuchimba vyoo vya kujistiri wanashindwa🚮