Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Igweeeeeee.!! 😹🤸♀️Mbeya tunaongoza kwa ubandidu, hata ukiwa unaimba taarab hapa mbeya starti uimbie kwenye beat ya hiphop...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Igweeeeeee.!! 😹🤸♀️Mbeya tunaongoza kwa ubandidu, hata ukiwa unaimba taarab hapa mbeya starti uimbie kwenye beat ya hiphop...
Weeeeeeh😳Na wanavutia Mashallah.
Huyu baba angeniuwa kwa wivu wakeEe ee haya wakinga wamefanyaje? 😹😹
Kama kuchanja ni rahisi na wewe chanja.Arusha wala mirungi wanafanya nn kwenye hiyo list yako
Mara, mwanza, Mbeya, jaman kuna mashine huko balaa hadi raha. Sio kama ulivyowaza msinichoshe1. Mara
2. Arusha
3. Mwanza
4. Geita
5. Shinyanga
6. Mbeya
7. Rukwa
8. Katavi
9. Songwe
10. Iringa
😹😹😹😹 Mmezidi kuwapa miuno feni kaka zetu, na angekunyonga km unamvyomnyongea UNO 🤣Huyu baba angeniuwa kwa wivu wake
kWanza mkalii ana matusi na mikono yake miepesi kupiga
kWanza sijui hawana bandama maana sidhani kama nimewahi kumshuhudia amecheka tangu mwaka uanze. ananuna tu hata umfanyie kitu gani😹😹😹😹 Mmezidi kuwapa miuno feni kaka zetu, na angekunyonga km unamvyomnyongea UNO 🤣
Mkuu ngoja tuwaache madesii na ma garmaa wasije kutuvaa hapa😁Mkuu umenikumbusha, niliwahi kwenda manyara siku za nyuma kidogo aisee nilistaajabu, wale watu eti beseni moja linaoshewa vyombo, linafuliwa nguo na linaogewa hilohilo na sabuni hivyohivyo. Tembea uone
Duh!Mkuu umenikumbusha, niliwahi kwenda manyara siku za nyuma kidogo aisee nilistaajabu, wale watu eti beseni moja linaoshewa vyombo, linafuliwa nguo na linaogewa hilohilo na sabuni hivyohivyo. Tembea uone
jeshiiHata nyie sura ngumu halafu vifupiii!!
Asubuhi yote hii ushaandika upumbavu humu, shuwaini wewe, watu tunawaza fedha wewe unawaza ubandidu? nyie bodaboda sijui mna matatizo gani1. Mara
2. Arusha
3. Mwanza
4. Geita
5. Shinyanga
6. Mbeya
7. Rukwa
8. Katavi
9. Songwe
10. Iringa
Fungua pm nikujuzeMtanga unakuwaje mgumu.
Acha Mawenge hayo mavitu tulishatumia tukaja kuona n ufala hayo matakataka n upumbavuKama kuchanja ni rahisi na wewe chanja.
Nipo hapa hapa bundle tu changamoto 😂Ooh sawa sawa ndio maaana sikuoni humu, inabidi utoe code tuje huko uliko
Eeeeeh hata Tanga wale wale 😷Kumbe hata huko tanga na kwingineko!
Asee mungu ni fundi sana wa kulingisha mambo.
🤣🤣🤣🤣 sio huyo tu bwana!Ahaa umekariri sio, kwa vile umemjua konde boy
🤣🤣🤣 na wewe ni wa "Ntwara" nini!Ha hahahaha,hapo ktk sura ngumu na ufupi ni kama umenisema mm vile