Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kina Mangi nyie subirini kwenye list ya matajiri, wasipowaweka no 1 naandamana uzi ufutwe 😹😹Sura za kazi bila pesa unaonekana kama kichaa au mwehu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina Mangi nyie subirini kwenye list ya matajiri, wasipowaweka no 1 naandamana uzi ufutwe 😹😹Sura za kazi bila pesa unaonekana kama kichaa au mwehu tu.
Km yule jaku na lile hips na traco jamani 😹😹Ajue kutofautisha mkomao na ubandidu
Mhm🚮🚮🚮Ukiwa na sura ngumu kwenye mapenzi lazima uwe mtumwa.
Utatumia pesa kupata
Ukiachwa ndo umeachwa.
Lakini sisi ma handsomest wanawake hata tuwakwaze vipi kutuacha hawawezi
Na wanavutia Mashallah.Sura za kazi🤣🤣🤣
Sana kwa kweli. Na mkewe ukute anamuonea wivu balaa 😂😂😂.Km yule jaku na lile hips na traco jamani 😹😹
Ila wanawake tuna huruma sana..!!
Uwa nahisi jamaa linapumuliwa maana limekaa kisengeKm yule jaku na lile hips na traco jamani 😹😹
Ila wanawake tuna huruma sana..!!
Mapenzi yana siri sanaSana kwa kweli. Na mkewe ukute anamuonea wivu balaa 😂😂😂.
Ndo siri ya moyo
Asante kwa hii sifa mkuu 😆😆Sura za kazi🤣🤣🤣
😹😹😹 Ila wanawake na uchawi hatukosi, yani ukalionee wivu jitu km lile 🤣Sana kwa kweli. Na mkewe ukute anamuonea wivu balaa 😂😂😂.
Ndo siri ya moyo
Yule soda imeisha gesi kitambo 😹Uwa nahisi jamaa linapumuliwa maana limekaa kisenge
Wale wana ukorofi wa kibangibangi tu ila ni nyororoMmmh Arusha!!! Hapana hii nakataa.
Umri tafadhali1.Mara
2.Arusha
3.Mwanza
4.Geita
5.Shinyanga
6.Mbeya
7.Rukwa
8.Katavi
9 Songwe
10.Iringa
Arusha ifute labda sura za bangi, Arusha wana sura za kike1.Mara
2.Arusha
3.Mwanza
4.Geita
5.Shinyanga
6.Mbeya
7.Rukwa
8.Katavi
9 Songwe
10.Iringa
Kwa iyo muda wote ni ushuzi tuYule soda imeisha gesi kitambo 😹
Ahaa umekariri sio, kwa vile umemjua konde boyHata nyie sura ngumu halafu vifupiii!!
Mna mademu wanajua kukatikia vibamia. Ngoja nimcheki mmakonde wangu wa long timeMtwara tutashika namba moja litapokuja suala kupenda mitulinga na kujua kunyenyekea.
Ooh sawa sawa ndio maaana sikuoni humu, inabidi utoe code tuje huko ulikoNapitaga mara moja moja mkuu 😂😂