Weka ni vimo vyao Mkuu1. Arusha
2. Mara
3. Kagera
4. Kilimanjaro
5. Mwanza
6. Manyara
7. Singida
8. Simiyu
Kanda ya ziwa yote hakuna mbegu ya ufupi1. Arusha
2. Mara
3. Kilimanjaro
4. Kagera
5, Tanga
6. Mwanza
7. Manyara
8. Singida
9. Simiyu
Shusha Tanga mbaka no 10 unawjua wagosi weweView attachment 3085098
1. Arusha
2. Mara
3. Kilimanjaro
4. Kagera
5, Tanga
6. Mwanza
7. Manyara
8. Singida
9. Simiyu
Manyara sijaona na kuna wamasaiView attachment 3085098
1. Arusha
2. Mara
3. Kilimanjaro
4. Kagera
5, Tanga
6. Mwanza
7. Shinyanga
8. Singida
9. Simiyu
10. Simiyu
Wapare wanavuruga takwimuKilimanjaro??????
usiangalie mtu moja mojaKilimanjaro ya H. Ibwe na A. Kamwe?
wanaume kuanzia futi 5.8 (177 cm) na wanawake futi 5.4 (165 cm)Ni urefu wa sentimita ngapi huo unaoumaanisha?
Mbeya iko wapi hapoNi vigezo vya wastani, sio kwamba mikoa hii haina watu wafupi, on average kwa wanaume kuanzia futi 5.8 (177 cm) na wanawake futi 5.4 (165 cm)
View attachment 3085098
1. Arusha
2. Mara
3. Kagera
4. Kilimnjaro
5, Tanga
6. Mwanza
7. Shinyanga
8. Singida
9. Manyara
10. Simiyu
11. Pwani
Urefu wa wapi ndugu mleta uzi?Ni vigezo vya wastani, sio kwamba mikoa hii haina watu wafupi, on average kwa wanaume kuanzia futi 5.8 (177 cm) na wanawake futi 5.4 (165 cm)
View attachment 3085098
1. Arusha
2. Mara
3. Kagera
4. Kilimnjaro
5, Tanga
6. Mwanza
7. Shinyanga
8. Singida
9. Manyara
10. Simiyu
11. Pwani
😅Ikifika PDF ya wafupi usitusahau sie wa Kidegembye Njombe
Urefu unasaidia nini kwenye maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla?Ni vigezo vya wastani, sio kwamba mikoa hii haina watu wafupi, on average kwa wanaume kuanzia futi 5.8 (177 cm) na wanawake futi 5.4 (165 cm)
View attachment 3085098
1. Arusha
2. Mara
3. Kagera
4. Kilimnjaro
5, Tanga
6. Mwanza
7. Shinyanga
8. Singida
9. Manyara
10. Simiyu
11. Pwani
Mbeya watu wengi sana ni wafupi japo nimewahi kumuona giant wa kinyakyusa, ni amepanda hewani na bodi la mazoezi, ilibidi awe anacheza basketball Marekani na kina LebronMbeya iko wapi hapo