- Thread starter
- #41
Believe that, Ni mkoa unaoweza kuufatilia hata kwa wachezaji wa ligi kuu utagundua on average ni warefu hasa mabeki na makipa.Mhhhhhh Tanga tupo top 5
nimesoma na wasambaa, wale jamaa urefu sio haba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Believe that, Ni mkoa unaoweza kuufatilia hata kwa wachezaji wa ligi kuu utagundua on average ni warefu hasa mabeki na makipa.Mhhhhhh Tanga tupo top 5
Ana moyo wa kichaga na damu ya kipareMbona min -me ni mchaga ila andunje😎
Subiri nikimbie akija atarusha ngumiAna moyo wa kichaga na damu ya kipare
Kama mi nipo hawezi kukudunda nikiondoka mkabaki wenyewe wawili ndo labda uchezee kipondoSubiri nikimbie akija atarusha ngumi
Mbeya ndo mkoa pekee wenye watu wana maumbo ya mraba yaani urefu na upana vimelinganaMbeya watu wengi sana ni wafupi japo nimewahi kumuona giant wa kinyakyusa, ni amepanda hewani na bodi la mazoezi, ilibidi awe anacheza basketball Marekani na kina Lebron
Matusi tuuu🙄Kama mi nipo hawezi kukudunda nikiondoka mkabaki wenyewe wawili ndo labda uchezee kipondo
ukweli ukienda arusha sisi wameru na wamasaai tuko warefuNi vigezo vya wastani, sio kwamba mikoa hii haina watu wafupi, on average kwa wanaume kuanzia futi 5.8 (177 cm) na wanawake futi 5.4 (165 cm)
View attachment 3085375
Ni takwimu tu, mikoa mingine hawana watu warefu ila kuna sura nzuri, waongeaji, nguvu za mwili, uwezo mkubwa wa akili, n.k. ni vitu ambavyo havibadiliki hata mtu akiwa jela
1. Arusha
2. Mara
3. Kagera
4. Kilimnjaro
5, Mwanza
6. Shinyanga
7. Singida
8. Manyara
9. Tanga
10. Pwani
Ni vigezo vya wastani, sio kwamba mikoa hii haina watu wafupi, on average kwa wanaume kuanzia futi 5.8 (177 cm) na wanawake futi 5.4 (165 cm)
View attachment 3085375
Ni takwimu tu, mikoa mingine hawana watu warefu ila kuna sura nzuri, waongeaji, nguvu za mwili, uwezo mkubwa wa akili, n.k. ni vitu ambavyo havibadiliki hata mtu akiwa jela
1. Arusha
2. Mara
3. Kagera
4. Kilimnjaro
5, Mwanza
6. Shinyanga
7. Singida
8. Manyara
9. Tanga
10. Pwani
😃Mbona hamna tusi hapoMatusi tuuu🙄
Tanga watu ni wafupi. Kuna wengine wana watoto ila na wenyewe ukiwaona ni kama watoto. Ufupi.Fuatilia hata mpira, Ni mkoa ulioweza kutoa wachezaji wengi na warefu si haba