Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Kwenye umaskini Totoro ndipo kwenye fursa kubwa. Kuna wahindi fulani wanaita Kampuni yao Shinyanga imporium walianzia maisha Shinyanga, zamani huko, kufikia miaka ya 2000 walikuwa Dsm wakisafirisha spare za baiskeli toka nje na kuuza Tanzania nzima.
Aisee
Wewe msukuma kabisa Shinyanga
Vipi Delight cinema, Ashiana hotel, na disco la butiama
Ule mtaa wa Shinyang Emporium wote ulikuwa umejaa maduka ya wahindi miaka ile, kina Makecha, Aziz video, na ile tea shop nyuma ya benki tulikuwa tunaenda kununua jelebi
 
Ili utoboe katika mkoa husika angalia fursa zilizopo hapo. Sasa vijana mnahamanna firsa za dar mnataka mzipeleke mkoani. Yaani uende Mbeya kuuza maji unafikiri utatoboa?
 
Sio kwamba wenyeji wamezubaa...

Kimsingi wafipa sio wakabila, ndio maana rukwa kuna unafuu kwenye utafutaji...

Kuna mikoa ukienda utatamani kulia wenyeji walivyo wabaguzi...

Kila unachokifanya utafanyiwa figisu hadi uondoke.
Kwani Rukwa inawafipa tuu Mkuu. Sehemu zote za Rukwa nimezitembelea na naendelea kuzitembelea ndio chaka langu la utafutaji, ni kweli watu wake sio Wakabila ila hawajui kuchangamkia fursa kwa ukubwa wanakuridhika flani hata wakipata kidogo sawa tuu kwao hata hao wafipa pia wako hivo.
 
DUH ASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

 
Ili utoboe katika mkoa husika angalia fursa zilizopo hapo. Sasa vijana mnahamanna firsa za dar mnataka mzipeleke mkoani. Yaani uende Mbeya
Hapo Akili Kumkichwa Bablai, unaweza ukalima na kuwa mfanyabiashara kwa wakati mmoja. Hao matajiri wakilimo wa Mbeya hasa Mpunga walioko Bonde la Ziwa Rukwa ni matajiri wa kutupwa na hao wasukuma wahamiaji wanalima na kufuga wamechangamkia fursa na wanakipato kizuri. Ila changamkia fursa kutokana na eneo ulilopo ndio maana nikasema Rukwa bado kuna fursa ila hasa kwenye Kilimo na Ufugaji utatoboa usije na iphone store au duka la urembo huku Muze, Kiliamatundu au Kapenta.
 
Sasa watafute walipo hao gabacholi toka Mwadui na Lyabukande Shinyanga. Utawakuta Da, London , Vancuva, New York, Tokyo. Nk
 
Kwangu mimi naona migumu ni hii
1.Kilimanjaro
2.Singida
3.Pemba
4.Rukwa
5.Tanga
6.Dodoma
7.Kigoma
8.Shinyanga
9.Lindi
10.Dodoma
 
Wafipa wamejazana zanzibar hawana kabisa mpango wa kurudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…