Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Dar umasikini tupu watu hata mageto wengi hawana wanalala nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni muungwana sanamwenyeji wa Klm ila kwa hili Nakubali
Wewe vipi wewe, songwe kila fursa unayotaka ipoooo, kilimo, ufugaji, madini, biashara border etcVipi Songwe??😄
AiseeKwenye umaskini Totoro ndipo kwenye fursa kubwa. Kuna wahindi fulani wanaita Kampuni yao Shinyanga imporium walianzia maisha Shinyanga, zamani huko, kufikia miaka ya 2000 walikuwa Dsm wakisafirisha spare za baiskeli toka nje na kuuza Tanzania nzima.
Ili utoboe katika mkoa husika angalia fursa zilizopo hapo. Sasa vijana mnahamanna firsa za dar mnataka mzipeleke mkoani. Yaani uende Mbeya kuuza maji unafikiri utatoboa?Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Kwani Rukwa inawafipa tuu Mkuu. Sehemu zote za Rukwa nimezitembelea na naendelea kuzitembelea ndio chaka langu la utafutaji, ni kweli watu wake sio Wakabila ila hawajui kuchangamkia fursa kwa ukubwa wanakuridhika flani hata wakipata kidogo sawa tuu kwao hata hao wafipa pia wako hivo.Sio kwamba wenyeji wamezubaa...
Kimsingi wafipa sio wakabila, ndio maana rukwa kuna unafuu kwenye utafutaji...
Kuna mikoa ukienda utatamani kulia wenyeji walivyo wabaguzi...
Kila unachokifanya utafanyiwa figisu hadi uondoke.
DUH ASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Ili utoboe katika mkoa husika angalia fursa zilizopo hapo. Sasa vijana mnahamanna firsa za dar mnataka mzipeleke mkoani. Yaani uende Mbeya
Hapo Akili Kumkichwa Bablai, unaweza ukalima na kuwa mfanyabiashara kwa wakati mmoja. Hao matajiri wakilimo wa Mbeya hasa Mpunga walioko Bonde la Ziwa Rukwa ni matajiri wa kutupwa na hao wasukuma wahamiaji wanalima na kufuga wamechangamkia fursa na wanakipato kizuri. Ila changamkia fursa kutokana na eneo ulilopo ndio maana nikasema Rukwa bado kuna fursa ila hasa kwenye Kilimo na Ufugaji utatoboa usije na iphone store au duka la urembo huku Muze, Kiliamatundu au Kapenta.Hapa unazungumzia mkulima mkubwa au mfanyabiashara ndio wanaweza kutafuta soko nje ya Mkoa.
Vipi wakulima wadogo? Kwa nini hao wanunuzi wasije wenyewe? Unakoenda kuuza ndiko wanapata mzunguko wa hela nyie mnasalia kupiga miayo kusubiria mavuno mengine.
Mikoa ya hivyo huwezi toboa ,Bora hata uende Lindi ukalime korosho.
Mfano wilaya Gani?Ndio maana Iko kwenye list ila Wilaya zake ni nzuri but Hazina miundombinu ya Barabara za uhakika
Sasa watafute walipo hao gabacholi toka Mwadui na Lyabukande Shinyanga. Utawakuta Da, London , Vancuva, New York, Tokyo. NkAisee
Wewe msukuma kabisa Shinyanga
Vipi Delight cinema, Ashiana hotel, na disco la butiama
Ule mtaa wa Shinyang Emporium wote ulikuwa umejaa maduka ya wahindi miaka ile, kina Makecha, Aziz video, na ile tea shop nyuma ya benki tulikuwa tunaenda kununua jelebi
Hapo no 4 ukifaulu sijui, ngoja tupate uzoefu.Kwangu mimi naona migumu ni hii
1.Kilimanjaro
2.Singida
3.Pemba
4.Rukwa
5.Tanga
6.Dodoma
7.Kigoma
8.Shinyanga
9.Lindi
10.Dodoma
Hapo no 3 Pemba ukifaulu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindanoKwangu mimi naona migumu ni hii
1.Kilimanjaro
2.Singida
3.Pemba
4.Rukwa
5.Tanga
6.Dodoma
7.Kigoma
8.Shinyanga
9.Lindi
10.Dodoma
Kama kichwani mbungi ndogo hata Uende wapi huoni kesho.
Wafipa wamejazana zanzibar hawana kabisa mpango wa kurudiRukwa ni kweli wenyeji wamezubaa (ila wachapakazi) na uzuri sio wakabila, wageni wamekamatia fursa hasa Sekta ya Kilimo. Ukiwekeza kwenye Kilimo umetoboa ila uwe mbunifu pia wa kutafuta masoko nje ya mkoa wa Rukwa utapata faida hata mara mbili mpaka tatu.
Utamu wa ulojo, wameachia wageni ardhi yao.Wafipa wamejazana zanzibar hawana kabisa mpango wa kurudi
Ipige picha uliokuwa nayo hapo mfukoni aaminiSana mkuu,Kuna watu humu,wanadhani kutoboa mpaka uwe na duka au kuwe na super market kuubwa ndio wafikiri Kuna pesa,ukweli ni kwamba Rukwa pesa IPO Tena nyingi
Zanzibar ardhi mtu yoyote anamiliki ila kupata kaz serikalin ndo mtihani sheikhUtamu wa ulojo, wameachia wageni ardhi yao.