Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo miaka miwili ungefanya kazi hata kupandisha wazungu mlima kilimanjaro ungepata hela ila ile kazi hautakiwi uwe mtoto wa mamaNilikaa Moshi miaka miwili sikuwahi kuokota hata 100 chakavu😂😂😂
Lakini Kagera ndio Mkoa inaongoza Kwa idadi kubwa ya mafukara TanzaniaUsipotoboa ukiwa Kagera utakuwa mwehu
Fursa za uvuvi
Kilimo cha kahawa
Ufugaji
Tumepakana na nchi za Uganda, Burundi, Rwanda
Kilimo cha miwa, ndizi, maharage n.k
Usafirishaji
Ongeza nyamaSingida unatoboa, usiende Singida Mjini kimbilia Manyoni halafu urejeshe majibu. Manyoni ni Bandari ya Nchi kavu wewe tu akili Mukichwa.
Mkuu ngara hivi pakoje mji umechangamka au bado inajikongoja?Usipotoboa ukiwa Kagera utakuwa mwehu
Fursa za uvuvi
Kilimo cha kahawa
Ufugaji
Tumepakana na nchi za Uganda, Burundi, Rwanda
Kilimo cha miwa, ndizi, maharage n.k
Usafirishaji
Nina mpango wa kuhamia tunduma, mana nahisi huku nilipo mamenikataa kabisaSongwe unatoboa asbh sana.
Ingia pale Tunduma daka mzigo toka Zambia kamata fursa ingiza mapesa.
NimechekaKilimanjaro ni mbaya zaidi kwa utafutaji.
Wachaga na Wapare mkoa wenu hovyo kabisa kwa utafutaji...yaani sufuri
Itoe Rukwa hapo,huko Kuna kutoboa kirahisi km unajitambuaJapo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Karibuni Narumu Star Hotel Manyoni.Singida unatoboa, usiende Singida Mjini kimbilia Manyoni halafu urejeshe majibu. Manyoni ni Bandari ya Nchi kavu wewe tu akili Mukichwa.
Rukwa ni miongoni mwa Mikoa maskini Tanzania na Wala hakuna mzunguko wa helaItoe Rukwa hapo,huko Kuna kutoboa kirahisi km unajitambua
Mtoa post apimwe mkojoItoe Rukwa hapo,huko Kuna kutoboa kirahisi km unajitambua
Wewe umetoboa Kwa lipi kweymkoa.huo wenye watu mafukara na poor purchasing power?Mtoa post apimwe mkojo
Hakuna mkoa n rahisi kutoboa kama Rukwa.
Wenyeji wameridhika pia ukabila sio kivile ukilinganisha na mikoa mingine
Umeona eee. Inabidi uwe mwenyeji wa migombaniKwa nini kilimanjaro iwe ngumu kwa utafutaji? Mbona kuna watu nawajua wametajirikia huko tena migombani kabisa?
Kwa Dar umeongeaKagera = 0 watu wanaomiliki pesa wengi ni ambao wameajiriwa .
Kagera kula , kuvaa ,kulala utapata Ila sio kuwa na ukwasi.
Then mkoa ambao MTU anakuja hana kitu hana ndugu na anatoboa ni DSM tu.