Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Hautoboi ukifanya biashara gani?

Taja mkoa na biashara gani hautatoboa. Mfano ukienda Makete kuuza mafriji ni wazi utasumbuka kutoboa. Lakini ukienda kuanzisha kampuni ya kutengeneza shower heads na kuziwekea heater unaweza ukawa na soko constant
 
Kilimanjaro wakikujua wewe sio Mchaga hutoboi.

Kule Shinyanga hasa maeneo ya Kahama panafaa kibiashara. Pako bize muda wote (usiku wa manane na alfajiri) maduka yapo wazi na huduma ya vyakula inapatikana hapo kutoboa ni rahisi sana
 
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬

1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma

My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.

Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Itoe Rukwa hapo,huko Kuna kutoboa kirahisi km unajitambua
 
Back
Top Bottom