Mtaalamuwenu
Member
- Jan 3, 2016
- 61
- 50
- Thread starter
- #21
Mfano inaweza ikaundwa na wilaya zipi mkuu?Handeni nayo yapaswa kuwa mkoa ijitenge na Tanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano inaweza ikaundwa na wilaya zipi mkuu?Handeni nayo yapaswa kuwa mkoa ijitenge na Tanga
Mipya kiutawala mkuu kiongoziMipya unamaanisha nini, hayo maeneo yalishakuwepo yamegawanywa tu kiutawala. Manyara ina upya gani wakati ni umri wa GenZ
PanganiMfano inaweza ikaundwa na wilaya zipi mkuu?
Sema wilaya za Tanga wako slow sana. Nilikaa kule miaka fulaniPangani
Korogwe
Kilindi
Handeni jiji na Handeni vijijini
Hiyo kauli aliitamka jiwe,Acha kumlisha samia wa watu maneno ya uongo.kashasema sio kipaumbele chake, mikoa mipya na wilaya mpya ni labda akija Rais mwengine
Handeni ipo tofauti kidogoSema wilaya za Tanga wako slow sana. Nilikaa kule miaka fulani
Kwa namna gani mkuu? Wanazalisha nini kikubwa hichoHapo Mkoa wenye maendeleo ni Njombe tu,mengine yote ni vijiwe vya kahawa
Kwanini hii Simiyu inakuwa ya mwisho kabisa mkiani na ilihali wana Hadi ziwa Viktoria?Mimi nimebahatika kufika mikoa hiyo yote hapo.kwa mzunguko wa pesa naweza sema hivi
1.Njombe
2.Geita
3.Songwe
4.Manyara
5.Katavi
6.Simiyu
Ziwa victoria zaidi linanufaisha mikoa ya Mwanza,Mara na kagera.Kwanini hii Simiyu inakuwa ya mwisho kabisa mkiani na ilihali wana Hadi ziwa Viktoria?
Tunduma ndio mpango mzima kwa SongweHao Songwe nasikia wanaitwa lango kuu la SADC kumbe maneno tu?😁
Ni kakola siyo katola.1. Geita (kuna chimbo linaitwa Katola)
2. Manyara (Babati ndio kila kitu)
3. Songwe.
Mkoa ujaoMASASI
Surekumbe netapussy na ww unajua kwa kina Lucas huko songwe