Mikoa Tajiri Tanzania kwa mujibu wa BOT

Mikoa Tajiri Tanzania kwa mujibu wa BOT

Hizi tawmu ni za BRN???? Nashangaa Shinyanga, Morogoro na Iringa kuizidi Arusha kwenye orodha ili hali hakuna kiasi kinachochangiwa.
Kadiri ya BRN, ufaulu umefika 81% kutoka 56% ndani ya miaka 2 ili hali juhudi hazionekani.

kwani weunaichukuliaje MORO?
 
mkoa wa morogoro uko juu sana kwenye kilimo watu wengi wanaudharau cjui kwa nn? tz uongozi wetu tu umekuwa mbovu lakn tungeamua kukomaa kwenye kilimo peke yake tungekimbiza majiran zetu hasa kenya hadi ulimi uwatoke. nchi ya ethiopia uchumi wake unakua kwa % kubwa kuliko china kwa sasa kutokana na kilimo. zaidi ya 80% ya uchumi wake unategemea kilimo. after all GDP ni total ya goods and service zinazokuwa produced na eneo husika kwa muda fulani. wengi humu tumeangalia goods tu tukasahau services kama maji nk. kwa hiyo nakubaliana na moro kuizidi arusha hasa baada ya ule mkoa kugawanywa na simanjiro (mererani) iko mkoa wa manyara
Moro tupooooo watakubali tu
 
Yaani mikoa inayoongoza kwa utalii imepitwa hata na Morogoro na Iringa!!!?

Hayo mapato yanaendaga wapi?

Kumbe ndio maana hii nchi haiendelei......

Yaani ww moro unaizarau ww unajua mikoa ipi inayozalisha mazao kwa wangi inchi tz nafikiri yote mi 3 imetajwa hapo ambayo inaweza kulisha ichi nzima moro mbeya na shy na c uzalishaji vipo vingine kama utalii hifadhi ya mikumi viwanda vya sukari viwali mtibwa na kilombero bwawa la umeme la kidatu madini ya ulanga hifadhi ya taifa udzungwa bado unataka nn kwa morogoro
 
Back
Top Bottom