Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Mikoa iliyoelimikakigoma ,na kilimanjaro kasi ya kuzaliana ipo chini sana rughly sensa ya mwaka 2032 wataongezeka watu laki mbili tu kwa mikoa ya kigoma na moshi.
mikoa iliyobabaki wataongezeka watu milion moja kwa kila mkoa
HujielewiWatu ni mtaji mkubwa kwa maendeleo ya nchi
MTU aliyeelimika ninadra Sana kuzaa bila mpangilioWachaga wako wachache!? Wachaga wanazaliana ni wengi sana kama serikali ingekuwa inafanya sensa mwezi wa 12 wangefika hata million 3 na kuendelea ...Wachaga wanaishi mikoani wakizaliwa kule basi wanasepa kweny kutafuta maisha ..
Kuna asilimia kadhaa ya wachaga wamezaliwa mkoani , kule moshi wanaenda tu .
Tanzania yote ni wamoja kokote kule watu wanaenda , kwa hiyo usipime kwa kuangalia watu wanaokaa kilimanjaro tu .
Nini kinaendelea huko Katavi na Pwani??Kigoma unayoitaja haipo kwenye Mikoa ambayo watu wanazaana sana tena Iko chini ya Wastani wa kitaifa,labda una chuki binafsi 👇👇View attachment 3065256
Wasukuma wamehamia,Kasi kwao imepungua ukiacha Geita na TaboraNini kinaendelea huko Katavi na Pwani??
Mbona wanafyatua kwa fujo hivyo!
Hii takwimu sio ya kuzaliana bali ni ya ukuaji wa population. Watu wanaweza wakazaliana sana alafu population ikawa ndogo kwa sababu watu wengi hususani vijana wanaondoka wanaenda dar na mikoa mingneKigoma unayoitaja haipo kwenye Mikoa ambayo watu wanazaana sana tena Iko chini ya Wastani wa kitaifa,labda una chuki binafsi 👇👇View attachment 3065256
SahihiHii takwimu sio ya kuzaliana bali ni ya ukuaji wa population. Watu wanaweza wakazaliana sana alafu population ikawa ndogo kwa sababu watu wengi hususani vijana wanaondoka wanaenda dar na mikoa mingne
Unamaanisha nini kwamba mikoa hio hakuna Wanaume au wengi waliopo huko wameleft group la Wanaume tukawasaidie kazi?kigoma ,na kilimanjaro kasi ya kuzaliana ipo chini sana rughly sensa ya mwaka 2032 wataongezeka watu laki mbili tu kwa mikoa ya kigoma na moshi.
mikoa iliyobabaki wataongezeka watu milion moja kwa kila mkoa
Kulea ?Unamaanisha nini kwamba mikoa hio hakuna Wanaume au wengi waliopo huko wameleft group la Wanaume tukawasaidie kazi?
Ngoja nitaangalia data TDHSNimelifikiria hilo ndiyo maana nikaweka growth rate kama matokeo ya birth rate, net emigration na net death.
Lakini, nikafikiri kwamba, ili Kigoma iwe karibu ya mwisho hivyo kwenye growth rate, inabidi kuwe na net emigration kubwa sana ambayo tungeisikia tu.
Yani hata baada ya kufikiria emigration, Kigoma's growth rate is too low.
So what gives?
Ukiangalia Kigoma fertility rate iko juu 5.8 juu ya Wastani wa taifa, TDHS 2022. Sijaangalia death na immigration rate kuona why population growth iko low vs high birth rate.Nimelifikiria hilo ndiyo maana nikaweka growth rate kama matokeo ya birth rate, net emigration na net death.
Lakini, nikafikiri kwamba, ili Kigoma iwe karibu ya mwisho hivyo kwenye growth rate, inabidi kuwe na net emigration kubwa sana ambayo tungeisikia tu.
Yani hata baada ya kufikiria emigration, Kigoma's growth rate is too low.
So what gives?
Hapo inachanganya kweli ChoiceVariableNgoja nitaangalia data TDHS
Ukiangalia Kigoma fertility rate iko juu 5.8 juu ya Wastani wa taifa, TDHS 2022. Sijaangalia death na immigration rate kuona why population growth iko low vs high birth rate.
Jenga hoja ,una kiwaaaHujielewi
Inawezekana hizo data za population growth kwa Kigoma zina matatizo, hazina ukweli?Ngoja nitaangalia data TDHS
Ukiangalia Kigoma fertility rate iko juu 5.8 juu ya Wastani wa taifa, TDHS 2022. Sijaangalia death na immigration rate kuona why population growth iko low vs high birth rate.
Mbona unatuchukia hiviKwa maisha ya dunia ya sasa ukizaa watoto watano au sita kuna ubaya gani??
Sasa kuna jamii bado zinazaa watoto 12 kama wana wa Israel.
Tuambiane ukweli,ardhi zimeshachoka na uwezo wa kukea hao watoto ni changanoto,hii inapelejea uharibifu wa nazingira na jukosekana wataalan wa afya,walimu wa kutosha kuwahudumia watoto.
Uharibifu wa mazingira ji mkubwa sana Katavi,Kigoma,Tabora,Geita,Simiyu,
Hakuna tuzo mtakayopewa kwa kuzaa sana.
Unakuta mama anakwenda clinicba watoto watatu wote waba chini ya miaka mitano.
Siku ya clinic kwa kitongoji husika hakuna mwanamje anayebaji ndabi,wote waba watoto wadogo.
Siku ya ubatizo au kipaimara janisa linajaa watoto moaka wabakosa viti.
Siku ya kufanya mitihani madawati yote yanamalizwa na watahiniwa.
Huku ni kama kuhujumu uchumi
NB,zingatia naneno haya growth rate na birthrate na mortality rate
Kigoma wana Growth rate ndogo kitakwimu ila birthrate yao si haba,vijana wanaukimbia sana huu mkoa na ni watanzania wachache sana wanahania Kigoma kutafuta naisha
Asante kwa kutueleza mapungufu yetu je wewe mwenzetu watokea wapi.Maana Tz tunajuana vizuri.Kwa maisha ya dunia ya sasa ukizaa watoto watano au sita kuna ubaya gani??
Sasa kuna jamii bado zinazaa watoto 12 kama wana wa Israel.
Tuambiane ukweli,ardhi zimeshachoka na uwezo wa kukea hao watoto ni changanoto,hii inapelejea uharibifu wa nazingira na jukosekana wataalan wa afya,walimu wa kutosha kuwahudumia watoto.
Uharibifu wa mazingira ji mkubwa sana Katavi,Kigoma,Tabora,Geita,Simiyu,
Hakuna tuzo mtakayopewa kwa kuzaa sana.
Unakuta mama anakwenda clinicba watoto watatu wote waba chini ya miaka mitano.
Siku ya clinic kwa kitongoji husika hakuna mwanamje anayebaji ndabi,wote waba watoto wadogo.
Siku ya ubatizo au kipaimara janisa linajaa watoto moaka wabakosa viti.
Siku ya kufanya mitihani madawati yote yanamalizwa na watahiniwa.
Huku ni kama kuhujumu uchumi
NB,zingatia naneno haya growth rate na birthrate na mortality rate
Kigoma wana Growth rate ndogo kitakwimu ila birthrate yao si haba,vijana wanaukimbia sana huu mkoa na ni watanzania wachache sana wanahania Kigoma kutafuta naisha
Wanakimbia kwaoHapo inachanganya kweli ChoiceVariable
Waha wakimaliza tu shule wapo Dar kufanya biashara .Kwamba watoto wakishazaliwa tu wanasepea kwingine kwenda kutafuta maisha?