Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kigoma inarudisha nyuma uchumi wa nchi kwa watu wake kuzaa bila mpangilio

Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kigoma inarudisha nyuma uchumi wa nchi kwa watu wake kuzaa bila mpangilio

Wachaga wako wachache!? Wachaga wanazaliana ni wengi sana kama serikali ingekuwa inafanya sensa mwezi wa 12 wangefika hata million 3 na kuendelea ...Wachaga wanaishi mikoani wakizaliwa kule basi wanasepa kweny kutafuta maisha ..

Kuna asilimia kadhaa ya wachaga wamezaliwa mkoani , kule moshi wanaenda tu .

Tanzania yote ni wamoja kokote kule watu wanaenda , kwa hiyo usipime kwa kuangalia watu wanaokaa kilimanjaro tu .
MTU aliyeelimika ninadra Sana kuzaa bila mpangilio
 
Kigoma unayoitaja haipo kwenye Mikoa ambayo watu wanazaana sana tena Iko chini ya Wastani wa kitaifa,labda una chuki binafsi 👇👇View attachment 3065256
Hii takwimu sio ya kuzaliana bali ni ya ukuaji wa population. Watu wanaweza wakazaliana sana alafu population ikawa ndogo kwa sababu watu wengi hususani vijana wanaondoka wanaenda dar na mikoa mingne
 
kigoma ,na kilimanjaro kasi ya kuzaliana ipo chini sana rughly sensa ya mwaka 2032 wataongezeka watu laki mbili tu kwa mikoa ya kigoma na moshi.

mikoa iliyobabaki wataongezeka watu milion moja kwa kila mkoa
Unamaanisha nini kwamba mikoa hio hakuna Wanaume au wengi waliopo huko wameleft group la Wanaume tukawasaidie kazi?
 
Nimelifikiria hilo ndiyo maana nikaweka growth rate kama matokeo ya birth rate, net emigration na net death.

Lakini, nikafikiri kwamba, ili Kigoma iwe karibu ya mwisho hivyo kwenye growth rate, inabidi kuwe na net emigration kubwa sana ambayo tungeisikia tu.

Yani hata baada ya kufikiria emigration, Kigoma's growth rate is too low.

So what gives?
Ngoja nitaangalia data TDHS
Nimelifikiria hilo ndiyo maana nikaweka growth rate kama matokeo ya birth rate, net emigration na net death.

Lakini, nikafikiri kwamba, ili Kigoma iwe karibu ya mwisho hivyo kwenye growth rate, inabidi kuwe na net emigration kubwa sana ambayo tungeisikia tu.

Yani hata baada ya kufikiria emigration, Kigoma's growth rate is too low.

So what gives?
Ukiangalia Kigoma fertility rate iko juu 5.8 juu ya Wastani wa taifa, TDHS 2022. Sijaangalia death na immigration rate kuona why population growth iko low vs high birth rate.
 
Ngoja nitaangalia data TDHS

Ukiangalia Kigoma fertility rate iko juu 5.8 juu ya Wastani wa taifa, TDHS 2022. Sijaangalia death na immigration rate kuona why population growth iko low vs high birth rate.
Inawezekana hizo data za population growth kwa Kigoma zina matatizo, hazina ukweli?

Mkoa wa Kigoma umegawanywa?

Kigoma kwa kumbukumbu zangu ina birth rate kubwa tu.
 
Kwa maisha ya dunia ya sasa ukizaa watoto watano au sita kuna ubaya gani??

Sasa kuna jamii bado zinazaa watoto 12 kama wana wa Israel.

Tuambiane ukweli,ardhi zimeshachoka na uwezo wa kukea hao watoto ni changanoto,hii inapelejea uharibifu wa nazingira na jukosekana wataalan wa afya,walimu wa kutosha kuwahudumia watoto.

Uharibifu wa mazingira ji mkubwa sana Katavi,Kigoma,Tabora,Geita,Simiyu,

Hakuna tuzo mtakayopewa kwa kuzaa sana.

Unakuta mama anakwenda clinicba watoto watatu wote waba chini ya miaka mitano.

Siku ya clinic kwa kitongoji husika hakuna mwanamje anayebaji ndabi,wote waba watoto wadogo.

Siku ya ubatizo au kipaimara janisa linajaa watoto moaka wabakosa viti.

Siku ya kufanya mitihani madawati yote yanamalizwa na watahiniwa.

Huku ni kama kuhujumu uchumi

NB,zingatia naneno haya growth rate na birthrate na mortality rate

Kigoma wana Growth rate ndogo kitakwimu ila birthrate yao si haba,vijana wanaukimbia sana huu mkoa na ni watanzania wachache sana wanahania Kigoma kutafuta naisha
Mbona unatuchukia hivi
Kwa maisha ya dunia ya sasa ukizaa watoto watano au sita kuna ubaya gani??

Sasa kuna jamii bado zinazaa watoto 12 kama wana wa Israel.

Tuambiane ukweli,ardhi zimeshachoka na uwezo wa kukea hao watoto ni changanoto,hii inapelejea uharibifu wa nazingira na jukosekana wataalan wa afya,walimu wa kutosha kuwahudumia watoto.

Uharibifu wa mazingira ji mkubwa sana Katavi,Kigoma,Tabora,Geita,Simiyu,

Hakuna tuzo mtakayopewa kwa kuzaa sana.

Unakuta mama anakwenda clinicba watoto watatu wote waba chini ya miaka mitano.

Siku ya clinic kwa kitongoji husika hakuna mwanamje anayebaji ndabi,wote waba watoto wadogo.

Siku ya ubatizo au kipaimara janisa linajaa watoto moaka wabakosa viti.

Siku ya kufanya mitihani madawati yote yanamalizwa na watahiniwa.

Huku ni kama kuhujumu uchumi

NB,zingatia naneno haya growth rate na birthrate na mortality rate

Kigoma wana Growth rate ndogo kitakwimu ila birthrate yao si haba,vijana wanaukimbia sana huu mkoa na ni watanzania wachache sana wanahania Kigoma kutafuta naisha
Asante kwa kutueleza mapungufu yetu je wewe mwenzetu watokea wapi.Maana Tz tunajuana vizuri.
 
Back
Top Bottom