Mikoa ya Kaskazini ni matajiri ila mbona nguo za mitumba nyingi?

Mikoa ya Kaskazini ni matajiri ila mbona nguo za mitumba nyingi?

Unatetea kuwa kaskazini kuvaaa mitumba n ufahari? Nguo ukiyovaliwa na wew kuja kuivaaa ni ufahari kuwa hutaki kuonekana unahela ama unaishi maisha ya kaiwaida?
Mtumba ni mtumba ushavaliwa ukivaa unavaa marudio hamna cha grade
Na kila nguo ya mtumba sasaiv Tanzania unaipata mpyaaa sema nyie hela zenu za manati ila sifa nyingi
Kwani hizo nguo za dukani huko kariakoo sh. Ngapi na nguo za mitumba kwenye quality shops sh ngapi??
 
Ndugu mtoa mada unajua thamani ya hiki kiatu cha mtumba.......???

Moja ya kanuni ya kutunza fedha ni kununua bidhaa bora inayodumu......

20210527_191102.jpg
 
Mleta mada wacha tuvae mtumba kwa raha zetu mbona mume wako naye mtumba alishatumika sana tu..!
 
sifa ya mtumba ni ya kipekee siyo yeboyebo mimi niliacha kuvaa special baada kuona watu amevaa shati kama langu
 
Wana utajiri gani ? Hso ni maskini wa kutupwa
Mtumba ni kitu kilichovaliwa Ulaya huko mzungu kapigia mpaka deki mitumba ya watoto wameikojolea wee kisha wanaifunga na kuuza Afrika.

Sasa kwa jamaa wa kaskazini ambao huwa wanasema kuwa matajiri kuna hela inakuwa vipi wanavaa sana madaso ambayo yakivaliwa sana huko Ulaya?

Kuanzia Moshi, Arusha na Manyara kote mitumba ni mingi mnoo ina maana wanashindwa kununua vitu ambavyo havijatumika?

Au utajiri wao ni kwenye kunywa K vant?
 
Mtumba ni kitu kilichovaliwa Ulaya huko mzungu kapigia mpaka deki mitumba ya watoto wameikojolea wee kisha wanaifunga na kuuza Afrika.

Sasa kwa jamaa wa kaskazini ambao huwa wanasema kuwa matajiri kuna hela inakuwa vipi wanavaa sana madaso ambayo yakivaliwa sana huko Ulaya?

Kuanzia Moshi, Arusha na Manyara kote mitumba ni mingi mnoo ina maana wanashindwa kununua vitu ambavyo havijatumika?

Au utajiri wao ni kwenye kunywa K vant?
Ukweli hautabadilishwa na ulichojaribu kuandika. Aliyekutangulia kakutangulia tu. Jaribu kufikiri namna ya kujikwamua usiishie kuwasuta watu wa kaskazini kwani wao sio asili ya taabu zako.
 
Kuna watu wenye shida kama wakaskazini ?
Ukweli hautabadilishwa na ulichojaribu kuandika. Aliyekutangulia kakutangulia tu. Jaribu kufikiri namna ya kujikwamua usiishie kuwasuta watu wa kaskazini kwani wao sio asili ya taabu zako.
 
Mtumba una grade.
Kuna grade ambazo wakati umepita madukani au wanasafisha duka.
Kuna grade zilizotumiwa kwa mda mfupi na kuuzwa tena.
Kuna grade ambazo hata serekali kuziruhusu ni kosa kama unazozisema kwenye uzi wako

Mtumba mtumba tuu, kama una hela utavaa kitu kipya na original.
 
Watu wa kaskazini ni waongeaji sana na wanajisifu ndo maana wanadhaniwa kuwa namali kumbe hawana
 
Kule Kuna mentality kwamba vitu used toka huko ulaya vinadumu kuliko vya mchina ambavyo ukifua tu vinapauka.

Na wanaona kama vile kuvaa nguo mpya ni ushamba,

Wanasema ni pigo za kilokole kuvaa za dukani.
 
Wewe sasa ushaachika na mpezi wa kaskazini maana uandishi tu una onyesha huna akili alafu umekurupuka.. hujui hoja yako ina maana gani ila unajua kuandika hasira zako binafsi.

Kama unadhani utajiri ni kuvaa nguo za dukani, basi sita kushangaa ukidhani umaskini ni kula mboga za majani na dagaa, kumbe hizi ni choice za watu binafsi. Kama hujajua basi jua leo kuwa kuna Mitumba grade one ambayo hata mzungu anayetoka Ulaya akija nchini ana nunua na kuvaa. So acha ushamba na chuki zako binafsi.

Kama kuna demu wa Kaskazin kakutema kwa umasikin wako, basi tafuta mapungufu yake binafsi na siyo ku generalised the entire community of northen.

Kununua nguo iliyotumika inamaanisha huna hela kuinunua nguo hiyo ikiwa mpya, usijitetee
 
Binafsi bado sijawa tajiri, ila nina mpango kabla sijafa niwe nimeshakuwa tajiri. Napenda sana mitumbaaaa, tena yale magumu magumu yani, buti ngumu, jeans ngumu mkataba nk.
 
Kuwa serious nmeuza sana mitumba dodoma sabasaba nachoongea najua
NAUZA BALO ZA MTUMBA PIA NAANDIKA NNACHOKIJUA
KUNA SPECIAL CLEARANCE HUFANYIKA ULAYA HUKO NA MIZIGO HULETWA TANZANIA
WAHINDI WANASORT WANAWEKA KWENYE MADUKA YAO WANAZIFUNGA UPYA UNALETEWA SABASABA DODOMA.
 
NAUZA BALO ZA MTUMBA PIA NAANDIKA NNACHOKIJUA
KUNA SPECIAL CLEARANCE HUFANYIKA ULAYA HUKO NA MIZIGO HULETWA TANZANIA
WAHINDI WANASORT WANAWEKA KWENYE MADUKA YAO WANAZIFUNGA UPYA UNALETEWA SABASABA DODOMA.
Hakuna cha special wala nini mtumba ni nguo used ungekuwa hujatumika usingekuja kwenye masandarusi
 
Mtumba una grade.
Kuna grade ambazo wakati umepita madukani au wanasafisha duka.
Kuna grade zilizotumiwa kwa mda mfupi na kuuzwa tena.
Kuna grade ambazo hata serekali kuziruhusu ni kosa kama unazozisema kwenye uzi wako
Badala ya kujibu kwa nini hawavai ngui mpya we unatetea mitumba.
Jibu swali kwa nini hawavai nguo mpya hali ni matajiri wa kipato.
 
Back
Top Bottom