TAARIFA KWA WATEJA KANDA YA KATI NA KANDA YA KASIKAZINI MABORESHO YA MITA
ZIMEBAKI SIKU Kwa Mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga Zifuatazo ni hatua za kufuata katika kuboresha mita yako
HATUA YA KWANZA: Pindi unaponunua umeme kwa simu au wakala wa kuuza umeme utapokea token za makundi matatu yenye namba 60. Hivyo, ingiza kundi la kwanza la namba 20 (Token 1) kisha bonyeza alama ya # au
HATUA YA PILI: Ingiza kundi la pili la namba 20 kisha alama ya #au
HATUA YA TATU: Hitimisha kwa kuingiza kundi la tatu ambalo ndio utakuwa umeme ulionunua Baada ya hapo utakuwa umefanikiwa kuboresha mita yako na utapokea kiwango cha umeme ulichonunua.
www.tanesco.co.tz
#MaboreshoLuku
#MitaYakoTunaKaziNayo
ZIMEBAKI SIKU Kwa Mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga Zifuatazo ni hatua za kufuata katika kuboresha mita yako
HATUA YA KWANZA: Pindi unaponunua umeme kwa simu au wakala wa kuuza umeme utapokea token za makundi matatu yenye namba 60. Hivyo, ingiza kundi la kwanza la namba 20 (Token 1) kisha bonyeza alama ya # au
HATUA YA PILI: Ingiza kundi la pili la namba 20 kisha alama ya #au
HATUA YA TATU: Hitimisha kwa kuingiza kundi la tatu ambalo ndio utakuwa umeme ulionunua Baada ya hapo utakuwa umefanikiwa kuboresha mita yako na utapokea kiwango cha umeme ulichonunua.
www.tanesco.co.tz
#MaboreshoLuku
#MitaYakoTunaKaziNayo